lukala
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 594
- 590
Kaka naomba unisaidie hiyo statement wanamaana ganiNa huu udhamini ni kwa Senior team pekee... So wanaweza kutafuta mdhamini mwingine kwa ajili ya team ya Simba Queens na junior teams... Just wow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka naomba unisaidie hiyo statement wanamaana ganiNa huu udhamini ni kwa Senior team pekee... So wanaweza kutafuta mdhamini mwingine kwa ajili ya team ya Simba Queens na junior teams... Just wow
Unahoja nzuri sana mkuu, ila unapojaribu kuiegemeza kwenye swala la Simba Sc kufungwa inaanza kukosa mashiko.Simba gani inafungwa hovyo hovyo
Usingemjibu inaonekana hata hesabu za hisa hakusoma darasa la TanoRudi tena shule, hiyo 20b ni 49% tu ya Mo. Nenda kanunue hizo 51%
Nilijua kabisa, hauwezi kukosekana hapa[emoji23].[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Issue sio miaka issue ni masharti ya mikataba inasemaje, unaweza ukawa wa mda mrefu na masharti mazuri, au ukawa wa mda mfupi na masharti magumu.Club zishauriwe zisiwe zinaingia mikataba zaidi ya miaka 3. Miaka 5 ni mingi mno, mambo yanaweza kubadilika kwa kiasi kwamba ukiwa na mkataba wa muda mrefu unaweza baki unaugulia maumivu ya mkataba.
"Zile zama za kuwa na mkataba sare sare maua zimepita. Kwa miaka ya hivi karibuni Simba tumewekeza vya kutosha ili kuhakikisha brand yetu inakua,"- Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally.
“Process ya mdhamini mpya tulianza tangu mwaka jana. Tumepokea boss nyingi za kutaka kuwa main sponsor, lakini M-Bet ndio wamekidhi vigezo vyetu vyote,” - CEO wa Simba, Barbara Gonzalez.
"Kwa ukubwa wa Simba ni lazima kujihusisha na kampuni ambayo inaongoza kwenye biashara ambayo wanafanya. Mkiangalia takwimu M-Bet wanaongoza kwa ukubwa Tanzania."- Barbara
"Hii ni mara ya kwanza mdhamini mkubwa anakuwa na senior team pekee, huko nyuma mdhamini mkuu alikuwa kwa timu zote lakini sasa timu zingine tunaweza kuzitafutia mdhamini wake,"- CEO
Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet, Allen Mushi ametaja mchanganuo wa udhamini mpya wa Klabu ya Simba:
Mwaka wa kwanza - Bil 4.670
Mwaka wa pili - Bil 4.925
Mwaka wa tatu - Bil 5.205
Mwaka wa nne - Bil 5.514
Mwaka wa tano - Bil 5.853
Jumla ni Bilioni 26, Milioni 168 na Tsh. 5,000.
=================================
TUJIKUMBUSHE MKATABA WA YANGA
Yanga SC ilisaini mkataba mpya wa Udhamini Mkuu na Kampuni ya kubashiri ya Sportpesa Tanzania, wenye thamani ya Tsh 12.3B kwa miaka mitatu (3), ambayo ni sawa na 4.1B kwa kila mwaka.
Mkataba huo ni ongezeko la Tsh bilioni 2 kwa mwaka kutoka kwenye mkataba awali wa bilioni moja kwa mwaka mmoja.
Pia soma:
Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12
🤣🤣🤣Thamami ya team 20B thamami ya mkataba kwa miaka mitano 26B [emoji36][emoji36] basi sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ujiulize kama akili zako ziko sawaa kweliHongereni Mikia,ila mjiulize timu yenu Ina thamani ya bil 20 toka Kwa Mwamedi? Msipopata majibu maneno ya Rage yataendelea kuishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] extrooo acha zako, khaaah.Simba haitakiwi kufungwa
Tumia akili kwanza kabla ya kuchangia. 20b ni kwa asilimia 49 pekee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi kujua kila kitu ana majukwaa yake ya kujidai,na inapokuja swala la simba na yanga profesa na mzoa taka wote huwa na akili sawa[emoji1][emoji1][emoji1]
Unafikiri TRA wasingeingilia deal ikiwa kungekuwa na ubadhilifu wa hela kwa namna yoyote ile??Mwenye Financial statements za M-bet atuwekee hapa tujadili kwa uhalisia sasa.
Ujenzi wa uwanja? Kwani mnataka tenda?
Kwa bahati mbaya kwenye jersey hatujaona tangazo la uwanja zaidi ya magofu ya kale
Ikitokea dili la ujenzi wa nyumba tutawastua
We Boya acha wivu ulitaka usuguliwe kinyeo bila wese wewe?Mo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
Akili mi ya nini ya kuvukia barabara inatosha,kwahiyo asilimia 49 Kwa timu kama Simba ndiyo iwe 20B pekee?Tumia akili kwanza kabla ya kuchangia. 20b ni kwa asilimia 49 pekee!
Nilisikia watakaa begani na tayari deal lipo jikoni, na bonasi mbalimbali kutokana na perfomance ya team kwenye interclub competitions( CAFCL & CAFCCL)Tunatisha manina. Tik Tok waje tuwape bega kwa 1b kwa mwaka. Barbara lete matangazo mwili mzima [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]