Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
SAWANawaambieni tu kuwa yule sport pesa hajafikia viwango vya kuitwa Mdhamini
Yule ni muhisani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAWANawaambieni tu kuwa yule sport pesa hajafikia viwango vya kuitwa Mdhamini
Yule ni muhisani
B 20 SIO NDOGO MKUUHili swali la ajabu. Yaani pesa yenu mnauliza kwa Mudy? Wewe unaweza hata uliza kwa mwanaume mwenzio mkeo yupo wapi.
Ujenzi wa uwanja? Kwani mnataka tenda?Twasubiria tuone ujenzi wa kiwanja ili thamani halisi ya mkataba ionekane hadharani
Unapata shida kumuelekeza shabiki wa Yanga wakati unajua kabisa huyo sio kikwete wala sio sunday manara?Unatumia akili za wapi kusema thamani ya team ni Tshs 20 B...... sikiliza nikueleweshe hizo 20B ni thamani ya asilimia 49 Mo alizo nunua miaka minne iliyopita... kwa sasa asilimia 49 haziwezi tena kuwa na thamani ya 20B. nashangaa watu mnaongelea 20B ya miaka minne iliyo pita.
Chuki zitakumaliza... Zama za sale sale maua zimepitwa na wakati... Kila mtu ajitegemeeMo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
Sio kosa kuwa na hisia naye kimapenzi japo hutakaa umle mzee, mi focus yangu ni ushindi wa club. Sio kufungwa hovyo hovyoView attachment 2310927
Mkuu labda kinakuuma huyu dada kuumbwa sura nzuri na Mungu
Simtegemei mtu boya ww, utaishia kula kwa macho tuChuki zitakumaliza... Zama za sale sale maua zimepitwa na wakati... Kila mtu ajitegemee
Hizi ndo zenu? Halafu hamjui mmeweka wapi?B 20 SIO NDOGO MKUU
imekuwaje tena malaya jamani ddad wa watu ivy league graduateMo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
Yanga walisema vile kulingana na aina ya mashabiki walionaoYanga walitangaza hadharani kuwa mkataba wao hauta fikiwa na team yeyote bongo [emoji1787] wao ndio wa Kwanza Mmhmm....naona wamekatwa Mbali mno hii League kwani thamani yake Ni tsh ngapii labda maana naona vikumbo vimekuwa vingi.
Hata angekuwa ivy championimekuwaje tena malaya jamani ddad wa watu ivy league graduate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alijichanganya kivipi sasa? Mwanaume kuwa na wivu na mwanamke ni aibu kubwa sana. Ulitaka wewe ndio uwe CEO?
sasa kwani lake baya nini?Hata angekuwa ivy champion
TUNATAKA TUCHANGANYE NA HIZI 26 ZA M BET ILI TUENDESHEE CLUB YETUHizi ndo zenu? Halafu hamjui mmeweka wapi?
Mmmmmh sijazoea ukileta comment ya hivi, acha chuki kwa babra lol.Mo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc