Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hatutaki wambeaHaya hodi hodi tunaingia
Tulia wewe hujafikia vigezo vya kumkosoa escobarKesho lazima muamke na stori za kumkataa Pablo! Kisa ameanzisha mabeki tupu!
Timu haiko organized kabisa! Mfumo hauleweki ni wa aina gani! Wachezaji wameambiwa wakabe tu. 😬😬😬
Zikiwa nyingi sana maana yake probability ya kuruhusu goli inaongezeka, mabeki watulie wacheze mipira na sio kusababisha faulo karibu na goli.Manula apewe ubunge
Mmh jamaa wanatupumulia naangalia huku presha imepanda niko na vidonge pemben