Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Hawa mabeki ni wajinga sana, hasa huyu Onyango bora hata ile mechi hakuwepo.

Ni lazima kutakuwa na Penalty hii mechi.
 
Enock usiamke lala hivyo hivyo shuka lipo njiani
 
Mmh jamaa wanatupumulia naangalia huku presha imepanda niko na vidonge pemben
 
Back
Top Bottom