Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Ile Simba iliyoupiga mwingi mechi na Al Ahaly ya marudiano kule Misri iko wapi?
Hata ile ilioupiga mwingi pale FNB wakati tunakula 4 kwa kizer siioni hapa, ile mechi tulikufa ila tulimiliki mpira kwa 68% tulifeli tu kwenye kupanda juu sana.

Naona mentality ya Da rossa na Pablo ni tofauti, angalia hata upangaji wa kikosi.
 
Back
Top Bottom