Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Kwa hiki kikosi, ikitokea first half imesha bila-bila basi tunafuzu mapema tu.

Shidi ni ikitokea mfumo ukafeli kisha tukaruhudu goli kipindi cha kwanza, mambo yatakuwa magumu sana.

NB: Hapo ni kukaba mwanzo mwisho maana hakuna wachezaji wa kumiliki mpira, wachezaji watahitaji mapafu ya mbwa leo😄.
Hadi hapo tumefanikiwa.
 
Back
Top Bottom