Pacbig
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 1,095
- 2,087
Nyingi sana aiseeDakika 4 zimeongezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingi sana aiseeDakika 4 zimeongezwa
Msimbazi hakuna wapiga penalty, tutarajie ubora wa Manula katika sekta hiyo uwe ni kama ule wakati tunacheza na Asec Momosas away.Kumbe matokeo yakiwa hivi hivi dk haziongezwi ni mikwaju ya penati nilizani labda kama UEFA.
Hata wewe unaendaga huko?...😂😂Wameong
Wameongeza dkk ngapi? Nipo na mganga hapa ananiambia matuta tunapita sijui kweli
Timu inajitahidi kusema kweli. Wanacheza kwa pamoja vizuri ni uwezo tu wawachezaji wetu ndi mdogo sio uwezo wa kocha.uzuri ni kwamba tukitoewa kocha wa Madrid ya Buza hana kazi.
Kapombe pekee ndiye mwenye ujasiri wa kupiga penati, mechi ya Mimosa waliukimbia mpira wachezaji wote Kapombe akauomba ya juzi na Orlando hivyo hivyo.Msimbazi hakuna wapiga penalty, tutarajie ubora wa Manula katika sekta hiyo uwe ni kama ule wakati tunacheza na Asec Momosas away.
God is goodTumekoswa haki ya mama