[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuweni wqzalendo bwana au hamjui kuwa timu zikishinda wakina mzabzab tupanapa mwanya wakugeggeda maana warembo wanakuwa na furaha
Mzani uta balance tuu....leo naona mnyam kachinjwa kikatiliTulia Tu Mkuu Si Unakumbuka Goli La RS Berkane Dhidi Yenu Lilivyokataliwa? Kwaio Hizi Error Ni Kawaida Tu Kwenye Football [emoji23]
Wafukua mashudu bhana [emoji847]Yes say more, brother.
Tena na warembo walikuwa na matako wale na mishape hatari....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kagegedeni South.
Uzembe ulianza Dsm....Tumetoka kizembe sana, sioni point ya kusema tumetoka kiume.
Ilikuw Lazima Achinjwe Tu Kwakweli [emoji23]Mzani uta balance tuu....leo naona mnyam kachinjwa kikatili
Alimkamia wapi Mayele nakati aliwatundika 1-0 ngao ya hisani [emoji848][emoji4]Wivu tu huu, kisa alimkamia Mayele.
Acha utoto.
Mara ajifanye CR7Yule inonga anajifanyaga yeye ndo anajua mpira kuliko wachezaji wote wa simba kumbe ni famba tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasi tukaliza vinubi tukiimba na kutazama nyikani. Naaam .... Mnyama yule alishindwa vibaya na jeshi lake la ulinzi wakiwa tisatisa wote wakatupiwa motoni.
Kabisa utadhani tunaishi mahameni, yale mapopoma yangetusumbua sana na mavuvuzela ya kuokota jalalani [emoji56]Mji umepoaaaaaa, Orlando mmetutendea haki.
Wenyeji ndio wanaopaswa kuwa na presha kubwa kwasababu kwao kwenda matuta haikuwa lengoPressure ili kuwa kubwa sana baada ya red card, na goli kuingia ... mentality za wachezaji zikabadilika
Ila yote kwa yote. Pablo inabidi abe e lawama. Nilisema hapa kwamba the best way for simba ku go through ni kama wataenda sauz na kushbulia.Ilikuw Lazima Achinjwe Tu Kwakweli [emoji23]
Achana na mimi
Popoma 1 la MAKOLOKOLO FC nililiambia hiyo ndiyo kazi ya karma ambavyo inalipiza kisasi dhidi ya Berkane FC nikashangaa ghafla Jamaa kawa na jazba akinishutumu siko upande wao [emoji13]Tulia Tu Mkuu Si Unakumbuka Goli La RS Berkane Dhidi Yenu Lilivyokataliwa? Kwaio Hizi Error Ni Kawaida Tu Kwenye Football [emoji23]
Namwonaga kama nabii TitoYule inonga anajifanyaga yeye ndo anajua mpira kuliko wachezaji wote wa simba kumbe ni famba tu
Umenikumbusha kale kajamaa kalikokuwa kanachafua nyuzi humu mitandaoni kuandika kagoli ka1 ka "kapombeeeeeee goal" mechi ya kwanzaOyoo Wamerudishaa, Kapombeeeeeeeeee [emoji460] 1-1 Hapa Gauteng Province [emoji23]