Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Pablo sio wa kulaumiwa, mbn kipind cha kwanza tulicheza vzr? Kad ya mugalu imetucost sn sn. Timu imepambana sn najua weng walijua/kutarajia labda tungefungwa 5 huko lkn wachezaj wamepambana sn leo.
 
Pablo sio wa kulaumiwa, mbn kipind cha kwanza tulicheza vzr? Kad ya mugalu imetucost sn sn. Timu imepambana sn najua weng walijua/kutarajia labda tungefungwa 5 huko lkn wachezaj wamepambana sn leo.
Naona wewe na mie tuna maana tofauti ya kucheza vizuri....yaani timu dakika 45 inamaliza bila shot on target, huko sio kucheza vizuri jombaa.

Kwanza objective ya game ni kufunga magoli sio kulinda magoli
 
Pablo sio wa kulaumiwa, mbn kipind cha kwanza tulicheza vzr? Kad ya mugalu imetucost sn sn. Timu imepambana sn najua weng walijua/kutarajia labda tungefungwa 5 huko lkn wachezaj wamepambana sn leo.
Na ndiyo ilikuwa dua ya mautopolo. Wanaume wamekufa kiume siyo wale waliokufa kibudu tena kwa kugeuzwa hasusa mbele na nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…