Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Upuuzi. Mi ni mwanasheria sijawahi ona sheria ya mtu [natural or legal] akimuombea mtu mzima uraia.
P.s mi ni mwanasimba
P.s mi ni mwanasimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Automatically hao wana uraia pacha, uraia wao wa asili wa nchi zao walikozaliwa na uraia wao mpya wa Sasa.Cha maana wajue Hakuna uraia pacha
Hili sioni kama lina tatizo hasa sheria zikizingatiwa hakuna tatizo , hata America 🇺🇸 haikujengwa na jamii moja , ili kupata maendeleo inabidi tuchanganyike tupate uzoefu tofauti.
Kumbe😁
Matatizo yako hapa:
ii. That during the ten years immediately preceding the said period of twelve months he resided in the United Republic for periods amounting in the aggregate do not less than seven years,
vi. That he intends, if naturalized to continue to reside permanently in the United Republic.
Rage hakukosea tangu lini uraia inaomba taasisi anayofanyia kazi mtu na sio muhusika mwenyeweUpuuzi. Mi ni mwanasheria sijawahi ona sheria ya mtu [natural or legal] akimuombea mtu mzima uraia.
P.s mi ni mwanasimba
Ububujikwe na machozi ya furahaGuede na yeye apewe uraia jamani.
Ephen Bado tu unamuwaza guede? Mturuki atakuuaGuede na yeye apewe uraia jamani.
Usinikumbushe ile pisi yake ilivyo kaliiiEphen Bado tu unamuwaza guede? Mturuki atakuua
nimejog my memory nahisi kama Niliwahi kuona post Yako sijui mwaka Jana unalalamika,Usinikumbushe ile pisi yake ilivyo kaliii
Ndio! Lakini haisaidii chochote yule binti ni mkali sana sijamzidi kitu zaidi ya komwenimejog my memory nahisi kama Niliwahi kuona post Yako sijui mwaka Jana unalalamika,
Umekuwa mkweli sanaHapa kuna msukumo wa kisiasa. Watu wanalitafuta kombe la AFCON kwa udi na uvumba.
Huko nyuma niliwahi kushauri hili suala kwa hiyo napata wakati mgumu kulipinga sasa hivi.