Simba yatuma rasmi ombi kwa Idara ya Uhamiaji kuomba uraia wa wachezaji wake 9 wa kigeni

Simba yatuma rasmi ombi kwa Idara ya Uhamiaji kuomba uraia wa wachezaji wake 9 wa kigeni

Hivi nini MOTIVE behind ya hii issue?

Kwa mtizamo wangu sio ni kama lina TIJA

Ukweli ni kwamba timu zinatafuta shot cut ya kukwepa kipengele cha limit ya idadi ya wachezaji wa kigeni 12
Lakini pia zinakwepa lundo la ada na kodi kwa wachezaji wa kigeni

Trust me hawa wachezaji wakimaliza mikataba yao na hivi vilabu na wakaona hakuna tena manufaa na uraia huo watarudia uraia wa nchi zao na haswa ikizingatiwa kwamba nchi nyingi za Afrika mgharibi zinakua na urai pacha

Nchi za wenzetu wakikupa uraia kwasababu ya kipaji ni wanazingatia unakipaji kweli kweli kwa faida ya taifa na sio vilabu kukwepa limit na kodi ada na tozo
Wewe Sasa ndio umeongea Hali halisi ya ambayo hata wachanbuzi wetu hawako tayari kusema.

Wasemaji WA hivi vilabu ukiwasikiliza motive behind ya kuwaombea uraia hao wachezaji, wanakimbilia kutaja eti impacts watakayokuwa nayo hao jamaa kwenye tifu ya taifa...yaani utafikiri labda wataingia Moja Kwa Moja kwenye national team. Ila ki uhalisia wanatafuta urahisi tu wa kuweza kumanage idadi Yao pamoja kuepuka gharama za kuwabakiza hapa nchini. Yaani hapo ni Kwa ajili ya maslahi ya vilabu na sio kitu kingine.

Inasikitisha kuona jinsi walivyotumia njia ndefu hivyo hili tu wabaki na hao wachezaji WA kigeni.. ni Tanzania pekee tu hili linawezekana
 
Hivi nini MOTIVE behind ya hii issue?

Kwa mtizamo wangu sio ni kama lina TIJA

Ukweli ni kwamba timu zinatafuta shot cut ya kukwepa kipengele cha limit ya idadi ya wachezaji wa kigeni 12
Lakini pia zinakwepa lundo la ada na kodi kwa wachezaji wa kigeni

Trust me hawa wachezaji wakimaliza mikataba yao na hivi vilabu na wakaona hakuna tena manufaa na uraia huo watarudia uraia wa nchi zao na haswa ikizingatiwa kwamba nchi nyingi za Afrika mgharibi zinakua na urai pacha

Nchi za wenzetu wakikupa uraia kwasababu ya kipaji ni wanazingatia unakipaji kweli kweli kwa faida ya taifa na sio vilabu kukwepa limit na kodi ada na tozo
Umefafanua vizuri....
Nimependa mawazo yako
 
Wahakikishe hiyo barua Inaambatana na wekundu wa msimbazi kadhaa hili Uhamiaji waione kwa haraka zaidi
 
Watanzania acheni ujinga.
waafrika wenzenu kupewa uraia tu midomomodom inawachoma hivyo?

Ulaya, US watu wengi ni wahamiaji
Issue siyo wao kupewa uraia bali njia za kuwapa uraia kwa mkato ilihali watanzania wazawa waliochukua uraia wa nje kutokana na kazi zao wananyimwa haki za uraia wa Tanzania. Na hapo watu wa kutokea Ghana, Burkina Faso, Corte d'Ivor, Senegal, Mali, Guinea-Bissau, Burundi, Rwanda, Zimbabwe wakishapata uraia wa Tanzania, hawapotezi uraia wa kwao. Wakichoka Tanzania wanarudi kwao kuendelea na maisha kama kawaida.

Kwa kufanya hivyo Tanzania ingeruhus nurai pacha ili mambo ya uraia yasiwe ya giza giza
 
Issue siyo wao kupewa uraia bali njia za kuwapa uraia kwa mkato ilihali watanzania wazawa waliochukua uraia wa nje kutokana na kazi zao wananyimwa haki za uraia wa Tanzania. Na hapo watu wa kutokea Ghana, Burkina Faso, Corte d'Ivor, Senegal, Mali, Guinea-Bissau, Burundi, Rwanda, Zimbabwe wakishapata uraia wa Tanzania, hawapotezi uraia wa kwao. Wakichoka Tanzania wanarudi kwao kuendelea na maisha kama kawaida.

Kwa kufanya hivyo Tanzania ingeruhus nurai pacha ili mambo ya uraia yasiwe ya giza giza
Ok mkuu.
 

Matatizo yako hapa:

ii. That during the ten years immediately preceding the said period of twelve months he resided in the United Republic for periods amounting in the aggregate do not less than seven years,

vi. That he intends, if naturalized to continue to reside permanently in the United Republic.
Sio lazima ukae miaka 10 au isiyopungua 7 hata kama umekaa miezi 12 unaweza kuomba uraia due to a certain special na waziri mwenye dhamana akakupa uraia bila masharti.
 
Kingereza ndo kimekufanya ushindwe kuelewa au we ni bogus tu in nature?
Soma hapa makalio wewe na kama hutaelewa niambie nikufundishe. Imbecile.

i. That he has resided in the United Republic throughout the period of twelve months immediately preceding the date of application.

ii. That during the ten years immediately preceding the said period of twelve months he resided in the United Republic for periods amounting in the aggregate do not less than seven years,
 
Safi sana smart move, that means hao 9 wote wakikubaliwa SIMBA inaweza kusajili wengine 9.

Haka kamchezo katamuuu katamuuuuu katamuuuuu.

Dah ila SIMBA misifa imetuzidi 9 wote hao?
 
Baada ya wachezaji wanne wa Klabu ya Singida Black Stars kupatiwa uraia wa Tanzania, Klabu ya Simba nayo imetuma maombi rasmi ya kuomba uraia wa wachezaji wake 9 wa kigeni ili wapatiwe uraia wa Tanzania.

Klabu ya Simba imedai wachezaji hao wana manufaa kwa nchi hii kwani bado ni vijana wanaoweza kuwa msaada kwa Taifa.

Sambamba na hiyo, Simba inaomba ada ya usajili wa wachezaji hawa ifutwe ili watambulike kama raia wa kitanzania.
View attachment 3211217

Pia soma
  1. Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
  2. Je, tuhuma za kutolewa uraia kama njugu kwa wachezaji wa Singida Big Stars zina ukweli? Je, ni chanzo cha kuondolewa Masauni Wizara ya Mambo ya Ndani?
Hii ndio njia rahisi ya kukwepa magharama ya kugharamia wachezaji wa kigeni. Pongezi kwa SBS kwa kubuni mbwinu hii mujarabu kabisa hapa nchini Tanganyika
 
Soma hapa makalio wewe na kama hutaelewa niambie nikufundishe. Imbecile.

i. That he has resided in the United Republic throughout the period of twelve months immediately preceding the date of application.

ii. That during the ten years immediately preceding the said period of twelve months he resided in the United Republic for periods amounting in the aggregate do not less than seven years,
Hivi kitoto makalio kama wewe unapata jeuri wapi ya kubishia baba zako?

Iko hivi unaweza kuomba uraia due to a certain special case mfano una kipaji(kama hao wachezaji wa singida) au una kitu special kinachoweza kulisaidia taifa husika.

Kuomba uraia kwa style hii inatakiwa uwe umekaa nchi husika kwa miezi isiyopungua 12 bila kusafiri nje hata kama hujakaa miaka 10 au 7.

Waziri mwenye dhamana anaweza kukupa uraia bila mashariti au kwa kutoa masharti hayo.

Likobweke wewe
 
Hivi kitoto makalio kama wewe unapata jeuri wapi ya kubishia baba zako?

Iko hivi unaweza kuomba uraia due to a certain special case mfano una kipaji(kama hao wachezaji wa singida) au una kitu special kinachoweza kulisaidia taifa husika.

Kuomba uraia kwa style hii inatakiwa uwe umekaa nchi husika kwa miezi isiyopungua 12 bila kusafiri nje hata kama hujakaa miaka 10 au 7.

Waziri mwenye dhamana anaweza kukupa uraia bila mashariti au kwa kutoa masharti hayo.

Likobweke wewe
Umeniambia sijui kiingereza sasa hivi unaleta ngonjera
 
Sio lazima ukae miaka 10 au isiyopungua 7 hata kama umekaa miezi 12 unaweza kuomba uraia due to a certain special na waziri mwenye dhamana akakupa uraia bila masharti.
Sheria haisemi hivyo. Huko ndiko kupindisha sheria kwa makusudi na kufanya sheria zisiwe na maana.

Sheria imeweka conditions sita kama zilivyoorodheshwa hapa. Hakuna kipengere kinachosema kuwa waziri ana mamlaka ya kutoa uraia kwa mtu yeyote mwenye "certain special circumstances." Mtu akiwa na uhitaji maalumu, basi anaweza kupewa ukimbizi au kibali cha kukaa nchini lakini siyo uraia.

CONDITIONS FOR CITIZENSHIP BY NATURALIZATION

i. That he has resided in the United Republic throughout the period of twelve months immediately preceding the date of application,
ii. That during the ten years immediately preceding the said period of twelve months he resided in the United Republic for periods amounting in the aggregate do not less than seven years,
iii. That he has an adequate knowledge of Kiswahili or the English language,
iv. That he is of good character,
v. That, in terms of his past and potential contribution to the national economy, or scientific and technological advancement and to the national social and cultural welfare, he would be a suitable citizen of the United Republic,
vi. That he intends, if naturalized to continue to reside permanently in the United Republic.
 
Sheria haisemi hivyo. Huko ndiko kupindisha sheria kwa makusudi na kufanya sheria zisiwe na maana.

Sheria imeweka conditions sita kama zilivyoorodheshwa hapa. Hakuna kipengere kinachosema kuwa waziri ana mamlaka ya kutoa uraia kwa mtu yeyote mwenye "certain special circumstances." Mtu akiwa na uhitaji maalumu, basi anaweza kupewa ukimbizi au kibali cha kukaa nchini lakini siyo uraia.

CONDITIONS FOR CITIZENSHIP BY NATURALIZATION

i. That he has resided in the United Republic throughout the period of twelve months immediately preceding the date of application,
ii. That during the ten years immediately preceding the said period of twelve months he resided in the United Republic for periods amounting in the aggregate do not less than seven years,
iii. That he has an adequate knowledge of Kiswahili or the English language,
iv. That he is of good character,
v. That, in terms of his past and potential contribution to the national economy, or scientific and technological advancement and to the national social and cultural welfare, he would be a suitable citizen of the United Republic,

vi. That he intends, if naturalized to continue to reside permanently in the United Republic.
Kuna watu wajuaji sana halafu hawajui kwamba hawajui. Huyo gonamwitu ni mpori pori tu kama jina lake hakuna anachokijua.
 
Back
Top Bottom