dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Mbna gafla mno mswaki umepiga kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majungu, au ndiyo ukweli wenyewe! Timu itapelekwa, na wananchi wataondoka na ushindi hata kama mwamuzi ni wa mchongo.Usipeleke timu uwanjani otherwise haya ni majungu tu
Wapenda michezo tunataka kuona fair play. Hatutaki madudu ya yule mwamuzi wenu wa juzi, yakijirudia tena kwenye mechi ya leo.Malalamiko mapema hivii...
Utopolo hamjiamini kabisa masikini, sijui tuwaachie tu mshinde?!
Tatizo mnalia sana..
Mwamuzi wa hiyo mechi ana kila dalili ya kushindwa kuumudu mchezo kwa kutaka tu kuwabeba. Na jambo hili lazima lisemwe mapema. Maana halikubaliki hata kidogo.Mbona ghafla sana, mlitutaka tukaja
Mtateseka hadi mechi iisheMwamuzi wa hiyo mechi ana kila dalili ya kushindwa kuumudu mchezo kwa kutaka tu kuwabeba. Na jambo hili lazima lisemwe mapema. Maana halikubaliki hata kidogo.
Achezeshe kwa kufuata sheria 17 za soka, na siyo kwa kufuata maagizo kutoka juu.
Sio Balimi?YANGA BINGWA
Self defenseNaitakia ushindi mnono timu yangu ya Wananchi, hata kama hao waandaji wana ajenda zao za siri za kutaka kuibebba timu fulani kupitia waamuzi wa kike! Ila naamini haki itapatikana tu.
Asantreeeeeeeeee!!!YANGA BINGWA
Cha msingi ifikapo saa tatu wote tuwaone, msifanye mikimbioKila la kheri Timu ya Wananchi.
Uwezo tunao, Kikosi bora pia tunacho hapa ni swala la muda tu.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Kabisa rafikiiiii Makolo watajibebaaaaa !Kila la kheri Timu ya Wananchi.
Uwezo tunao, Kikosi bora pia tunacho hapa ni swala la muda tu.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.