Hii kauli ni ya kujihami zaidi. Timu inatakiwa icheze vizuri sambamba na kushindaTushinde ama Tusishinde, nimeridhika na Yanga yangu kwa 99%. 1% tunahitaji Strika. Bado nammiss Mayele.
Penat gani Apo na wewe ,mnataka mpira uanze kuharibikaIla ile ilikuwa penati
Tulia gemu iishe uje kumlilia kochayanga mseme simba inabebwa sasaa
Unatizama mpira lakini .!??Refa kapeta penati ya pili
pole mkuuRefa kapeta penati ya pili
Acha kelele refa anawabeba mnataka kuchana mbelekoRefa kwani hii ni Volleyball? Mabeki wa Yanga wanacheza zao kwa mikono