Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Boko ndyo mrithi wa baleke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simple.Toa Musonda ingiza Aziz K, winga Zengeli na Jesus, mbele asimame mzize.
Na usajili mshafungaTushinde ama Tusishinde, nimeridhika na Yanga yangu kwa 99%. 1% tunahitaji Strika. Bado nammiss Mayele.
Utashangaa game inaisha 0-0, kisha labda Yanga akashinda kwa penalties, hapo unakuwa umekosa vyote na unaambulia maumivu ya Simba Sc kupoteza ngao.Mi mshabiki wa Simba ila nimeona ili kupunguza machungu baada ya mechi nikabet kwa kuweka 30k ushindi kwa yanga.
Kwanza kbs mbele hakuna wakabaji.. si bocco si chama wote hao hawakabi.Kipindi cha kwanza Simba imecheza sana mipira mirefu ambayo 85% ilikuwa inachukuliwa na wapinzani.
Formation ya kocha sio rafiki, Bocco mechi imemshinda anafanya tuwe 9 uwanjani.
Yanga imemiliki mpira imepiga pasi nyingi na imefika mara nyingi golini kwetu na kutengeneza presha.
Kazi kubwa kaifanya Chemalon huyu ndio man of the match kwa kipindi hiki cha kwanza, mzigo wote upo mabegani mwake.
Simba haikabi mipira na haina kasi, mipira michache sana ambayo Simba imefanikiwa kuichukua kutoka kwenye miguu ya mpinzani. Mostly ilikuwa ni mipira ambayo mpinzani alikuwa amekosa target na kujikuta amepiga uelekeo wetu.
Kocha atulize akili aje na mbinu mpya, ila kama ndio atachelewa kufanya sub basi sioni namna ambayo tutaweza kutoboa mechi hii.
Kwahiyo hao sio wachezaji wenu amna?Tunaoumia ni sisi Mashabiki..
Huyu kocha anapanga kikosi gani? Team inaonekana ya kawaida kutokana na upangaji wa kipuuzi..
Sahihi kabisa mkuu. 100%.Kipindi cha kwanza Simba imecheza sana mipira mirefu ambayo 85% ilikuwa inachukuliwa na wapinzani.
Formation ya kocha sio rafiki, Bocco mechi imemshinda anafanya tuwe 9 uwanjani.
Yanga imemiliki mpira imepiga pasi nyingi na imefika mara nyingi golini kwetu na kutengeneza presha.
Kazi kubwa kaifanya Chemalon huyu ndio man of the match kwa kipindi hiki cha kwanza, mzigo wote upo mabegani mwake.
Simba haikabi mipira na haina kasi, mipira michache sana ambayo Simba imefanikiwa kuichukua kutoka kwenye miguu ya mpinzani. Mostly ilikuwa ni mipira ambayo mpinzani alikuwa amekosa target na kujikuta amepiga uelekeo wetu.
Kocha atulize akili aje na mbinu mpya, ila kama ndio atachelewa kufanya sub basi sioni namna ambayo tutaweza kutoboa mechi hii.
Wewe upo kama mimi binafsi naona future nzuri sana mbeleni ukizingatia tuliondokewa na benchi la ufundi. Sikutegemea kama timu ingerudi katika perform ya hali ya juu kama timu ilivyokuwa chini ya Nabi. Ila naona tuendako ni kuzuriTushinde ama Tusishinde, nimeridhika na Yanga yangu kwa 99%. 1% tunahitaji Strika. Bado nammiss Mayele.
gape ya mayele haifutikiTushinde ama Tusishinde, nimeridhika na Yanga yangu kwa 99%. 1% tunahitaji Strika. Bado nammiss Mayele.
Hii mechi inamuhitaji zaidi MudathirSimple.
Toa Musonda, Max Nzengeli aende pembeni then katikati akae Aziz Ki.
Na ili maji yaitwe mma, aende Mudathir akae Pacome.
Wanabebwa na refa kibendera watapigwa mashuti ya nje kipindi cha pili sasa sijui kibendera atanyoosha wapi
Sio refa tena?
Sasa mbona kama unalia hata mechi haijaisha?Kipindi cha kwanza Simba imecheza sana mipira mirefu ambayo 85% ilikuwa inapotea na kuchukuliwa na wapinzani.
Formation ya kocha sio rafiki, Bocco mechi imemshinda anafanya tuwe 9 uwanjani.
Yanga imemiliki mpira imepiga pasi nyingi na imefika mara nyingi golini kwetu na kutengeneza presha.
Kazi kubwa kaifanya Chemalon huyu ndio man of the match kwa kipindi hiki cha kwanza, mzigo wote upo mabegani mwake.
Simba haikabi mipira na haina kasi, mipira michache sana ambayo Simba imefanikiwa kuichukua kutoka kwenye miguu ya mpinzani. Mostly ilikuwa ni mipira ambayo mpinzani alikuwa amekosa target na kujikuta amepiga uelekeo wetu.
Kocha atulize akili aje na mbinu mpya, ila kama ndio atachelewa kufanya sub basi sioni namna ambayo tutaweza kutoboa mechi hii.
Kivpgape ya mayele haifutiki
GooooooooolShida ni uchaguzi wa wachezaji, team ipo.