Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Sawa.ntaenda kupika baada ya kuwabandua 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.ntaenda kupika baada ya kuwabandua 2
Shida ni Kocha mkuuHadi najiuliza shida ni kikosi au kocha?
Habari zake anazo Saido na Miqueson.yao yao hana mpinzani hadi sasa man of the match anapanda anashuka kukaba yaan yanga wamelamba dume pale
Hao ni wachezaji wa mtibwa?Tunaoumia ni sisi Mashabiki..
Huyu kocha anapanga kikosi gani? Team inaonekana ya kawaida kutokana na upangaji wa kipuuzi..
Tulia ukandwe kipindi cha piliUkichunguza kwa undani, hata Yanga
Sio refa tena?Shida ni Kocha mkuu
Sawa.
Tulia ukandweUkichunguza kwa undani, hata Yanga
Awapi
So sad indeed ngoja tuone kipindi cha pili itakuwaje ila kwa mkutadha huu sidhan kwakweli kama tutafika mbali endapo hatua ya dharura isipochukuliwa.Kocha Kawa msenge, unamcha baleke, phiri aseeee
Domo tarumbeta umeliminya vizuri litulie .Si ndio ungekuwa umefunga? Simba mbovu ila mpaka sasa hauna goli, akili zipo kweli?