AmenMpira Una ukatili mkubwa Sana, uto mlikua mnatucheka Uzi mzima.
Neno la Mungu linasema
"Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo"
Napumzika na mpira na JF kwa muda nisioujua Proved tutaonana Mungu akipenda...
Kwa hiyo kazi ya timu yako ni kukimbiza? 🤣 🤣 🤣huna timu mkuu, umekimbizwa dk 90 golini ujafikia unajisifia penati
Nyie semeni sisi tujipigia tuhuna timu
hadi mnaona aibu
Simba tumekosa raha dk 90...
Vp nishangilie dk za penalti...
Salimu Katoro asimfichie aibu poor ROBERTINO
Unateseka ukiwa wapi?Sioni kama kocha wa simba anastahili kufurahi sana kisa matuta. Mwalimu anatakiwa ajifunze kuifanya team icheze mpira mzuri sio kuungaunga dakika 90.
timu bora imepoteza mbele ya timu mbovu daaah mpira unaumiza sanaNyie semeni sisi tujipigia tu