n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Watoto wa mwamedi leo mnaongea sana πππKunyweni panadol..siku nyingine mjifunze kufunga midomo
Ombeni sheria zibadilishwe.Dakika 90 haziwatoshi.FIFA wafanye dakika 200.Hii kawaida sana hii Mtani. ππ
Kosa tulilofanya ni kutokutumia dakika 90 vizuri.
Sidhani, naona bado wachezaji kusomana. Kwenye ligi watarekebisha makosa.Tatizo Mayele ama?
Wachambuzi wa jf hawalijui hilo Mkuu. π€£π€£π€£
Ungekuwa unaangalia game kwa namna fikirishi usingeona ya upande wangu tu.huna timu mkuu
mechi zote unapita kwa penati tena ukiwa umekimbizwa sana dk 90
Siku zote timu bora inapimwa kwa matokeo ya mwishotimu bora imepoteza mbele ya timu mbovu daaah mpira unaumiza sana
Kanywe maji,unajizima data hutambui hata Bingwa wa Dunia wa Sasa Argentina ametoboa Kwa penatiKwa watu wanaojua mpira ushindi wa penati si wa kufurahia....Na ndio maana kwenye kutoa Tunzo ya Mfungaji bora wananzengo wakasema tuondoe magori ya penati na pia hata magoli ya maza ,msigwa alisema ya penati hayahesabiwi.
Kweli Yanga BingwaYANGA BINGWA
Mbele mwiko nyuma mwikohongera sana mtani
tutakutana tena inshallah
daima mbele nyuma mwiko
Mwaka huu mtaumia sanatimu bora imepoteza mbele ya timu mbovu daaah mpira unaumiza sana
Kweli Yanga bingwaYANGA 2
SIMBA 0
Kweli kabisa, wafunge KUANZIA Sasa.