Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

kabisa na fungu la refa liandaliwe mapemaaaaa kwenye bilioni 3 fungu la refa liwepo
Kazi yetu mwaka huu kwenye fainali yoyote tunawapelekesha mpaka kwenye penalty tunawakandaaa...
Kila mtu na acheze mechi zakee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…