Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Asante my twin, hapa maneno yote yameniisha. Hongereni twin... BRNPole twin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante my twin, hapa maneno yote yameniisha. Hongereni twin... BRNPole twin
Kwa Ivo penati siyo ushindi? Basi Yanga ndiyo kabeba ngao ya Hisani!!Mashabiki wengi ni oyaoya ,hawajui mpira ,hauwezi kushangilia ushindi wa penati.
Class mate kwenye uborPIGA KELELE KWA SIMBA AKEEEEE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kama mlivyo bahatisha kule Algeria na USM sio?Ushindi wa Penalt ni Ushindi wa kubahatisha
Mbona nyie Inonga anawabeba sana na hamsemi?Wameshinda nyie yanga makopo ni mayele ndio alikuwa anawasaidia
Kwahiyo weww hukuona ile aliyoimeza? Nenda kapike[emoji23].penati imemgonga imedondoka chini kakutana nayo, unajua kuficha penati penati.wewe
hahahahahaha kwa timu gani mkuu, hii ambayo hata singida anaikimbiza dk 90Mwaka huu mtaumia sana
Mngemaliza kwenye zile dakika 90. Kubalini matokeo vinginevyo mwaka huu wengi mtajinyonga sanaUshindi wa Penalt ni Ushindi wa kubahatisha
Sidhani, naona bado wachezaji kusomana. Kwenye ligi watarekebisha makosa.
Mpira sio singeli kwamba aliyekatika sana ndio mshindi wa ngoma.Argentina ni bingwa wa dunia. Alishinda kwa penalti.Kanywe maji,unajizima data hutambui hata Bingwa wa Dunia wa Sasa Argentina ametoboa Kwa penati
Bahatisheni sasa 🤣 🤣 🤣Ushindi wa Penalt ni Ushindi wa kubahatisha
Alizopika Manara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]umekula kande za wapi
Kazi yetu mwaka huu kwenye fainali yoyote tunawapelekesha mpaka kwenye penalty tunawakandaaa...
Kila mtu na acheze mechi zakee...