Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

Nakubaliana na mchambuzi wako, mechi ilipaswa kumaliza dakika 90 na Yanga.

Lakini ukiona sinema yoyote ile ujuwe nyuma ya camera kuna madirector na maproducer.
 
Hongereni Simba kwa ushindi wa matuta, mpira una matokeo katili.

Asiyeipenda Ccm bora aachane na Siasa, mission complete.

Wenye akili tu ndio watalielewa andiko hili.

DP karibuni sana Watanzania wote tumeridhia tuna raha.
Ukifungwaa lazima ulete Hizi hoja za CCM kwenye mpira[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]daahhh....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…