Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi Mkuu... Atafika mbali.Ni bonge la kipa dadeki
Nakuomba usisepe jf wala kuacha kushabikia wananchi.Nimeumizwa moyo na matokeo ya Yanga yangu 😥😥😥😥😥
Mwanzo wa ngoma ni lele, siku njema huonekana asubuhi na dalili ya mvua ni mawinguMasahihisho:
Simba ni Washindi wa ngao ya jamii na siyo mabingwa, najuwa hamna furaha kwa muda mrefu.
November 5, game on again Ila daah sijafurahiNakubaliana nawewe, tutajua mbivu na mbichi. Tusubirie...
hii hii ambayo ilibebwa mechi ya singida
Nakubaliana na mchambuzi wako, mechi ilipaswa kumaliza dakika 90 na Yanga.Ungekuwa unaangalia game kwa namna fikirishi usingeona ya upande wangu tu.
Kama unakubali mchezo mliukamata kila area dhidi ya timu iliyokuwa inacheza chini ya kiwango halafu dakika 90 zikaisha bila kufunga.
Sidhani kama ni sahihi kujifariji maana hujaweza kufikiria kuwa vipi hao wapinzani wangecheza kiwango cha juu na wewe ungecheza poor, je ungeweza kutoboa?
Simba ingecheza katika high performance dhidi yenu sidhani kama zilikuwa zinapungua goli chini ya 3.
Haukosagi vya kuongea matola[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]poleee sanaaMasahihisho:
Simba ni Washindi wa ngao ya jamii na siyo mabingwa, najuwa hamna furaha kwa muda mrefu.
Kanunue kamba kwa mangi.Huu ni mwanzo tu.Ngebe zilizidi sana.Nimeumizwa moyo na matokeo ya Yanga yangu 😥😥😥😥😥
Utamaliza maneno yote leohii hii ambayo ilibebwa mechi ya singida
Nbc nako mtakufa kiume tena. Heri yenu mfukuzeni kocha kiromondidaah imeniuma kinomaa sisi sio wa kufungwa na Simba hata penati
Ukifungwaa lazima ulete Hizi hoja za CCM kwenye mpira[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]daahhh....Hongereni Simba kwa ushindi wa matuta, mpira una matokeo katili.
Asiyeipenda Ccm bora aachane na Siasa, mission complete.
Wenye akili tu ndio watalielewa andiko hili.
DP karibuni sana Watanzania wote tumeridhia tuna raha.
HakikaSahihi Mkuu... Atafika mbali.
Ana kitu ndani yake .
Tumeshinda yanga makopoMbona nyie Inonga anawabeba sana na hamsemi?