Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah sijidanganyi. Nipo hapa na mganga maaarufu sana ameshatabiriJidanganye jirani.
Labda penati ya mchongo kwa bahati ya refa bila hivyo hana pa kupumuaSimba atashinda tena kwa penalt,
Atakua amebeba hirizi ya timuboko wa kazi gani tena
Mganga wako feki kashakulia hela yako subiri Giza liingie ukalie kwenye mtaloHahah sijidanganyi. Nipo hapa na mganga maaarufu sana ameshatabiri
Simba 2 yanga 1
Mmeingia na ndumba uwanjani au sio? Hata muingie kinyumenyume tunawapiga tuAtakua amebeba hirizi ya timu
Kwanini?ila Robertinho kwenye upangaji wa kikosi anapaswa apewe kesi ya Uhaini
Angalia kikosi cha simba, linganisha na Cha kwako. Msondo, Mzize na Moloko ndo uwape kazo ya kushambulia kwenye mechi kubwa Kama hii kweli! Game ya kwanza alifanya the same mistake, ikatokea tu bahati dakika za mwisho. Asidhani leo itajirudia tenaTulia wewe angalia gemu alietoka nae draw kafungwa na tuliemfunga 2 anatushinda nini huyu Makolo?
Tunapiga pabaya leo
Subiri hapo gemu ianze tukifunga uje ulalamikeAngalia kikosi cha simba, linganisha na Cha kwako. Msondo, Mzize na Moloko ndo uwape kazo ya kushambulia kwenye mechi kubwa Kama hii kweli! Game ya kwanza alifanya the same mistake, ikatokea tu bahati dakika za mwisho. Asidhani leo itajirudia tena
Nimekaa pale! Mzize au Moloko mmoja alipaswa aanzie nje na sehemu yake acheze Sure Boy!Subiri hapo gemu ianze tukifunga uje ulalamike
Unaweza kuona sababu ya viongozi kumpangia kikosi. Ingizo kama hilo la kipuuzi kwa nini usipangiwe kikosi?Yani tunaanza na BOCCO kama mshambuliaji?? Hivi ni nini ambacho kocha huwa anaona kwa huyu jamaa ambacho sisi (mimi) hatukioni?
Huyu aombe Mungu ashinde, kinyume na hapo watu watamkataa. Hatujui huyuila Robertinho kwenye upangaji wa kikosi anapaswa apewe kesi ya Uhaini
Wachezaji wawili ambao mara nyingi uwanjani hugeuka liabilities, Bocco na Ntibazonkiza.Kwa Kennedy hatuna option maana Enonga ana injury
Ila kwa Bocco hiyo ni ridiculous