Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

Yanga wana gundu na fainali.

Tangu tuwafunge kule Algeria imekuwa kama mwendelezo wa nuksi.

Haya mfateni Karia awape medali zenu maana ni haki.

NB: Documentary mliiharakisha, mngeitoa kesho kutwa, leo mlikuwa na contents nyingi za kuweka.
huna timu mkuu
mechi zote unapita kwa penati tena ukiwa umekimbizwa sana dk 90
 
yaan inachekesha timu inashangilia wakat hamna kitu
Kapike sasa, wewe huku kwenye mpira unalazimisha tu[emoji23]
Screenshot_20230813-195812.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230813-200701.jpg
    Screenshot_20230813-200701.jpg
    27.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom