Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Woyooooooooo sisi ndo mabingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi itakuw kaweka rekodi ktk derby kudaka penati 3 si mchezoooHuyu Mtoto wa kuitwa Ally Salim Ikiwezekana Picha yake ikae Cover page kwenye ule Mkataba wa DPW.
Mmeanza lawama kwa TTF mapema sana, jaribuni kujizuia."Mbao ya hisani" imeenda kama tiefuefu walivyotarajia
Hii ambayo nyie mumeshindwa kuifungahahahahahaha kwa timu gani mkuu, hii ambayo hata singida anaikimbiza dk 90
Kwa Ivo penati siyo ushindi? Basi Yanga ndiyo kabeba ngao ya Hisani!!
unajua kumeza penati ww,.nenda kaangalie tena kama ameimeza bossKwahiyo weww hukuona ile aliyoimeza? Nenda kapike[emoji23].
Like seriously???? [emoji1787] [emoji1787]Robertinho ajengewe lisanamu pale msimbazi
Sio Dhararu we mwenyewe si umeonaDharau zimeanza [emoji16]
Aaaaah kumamake3 hahahqhNi mkwepa mishale yule sio mdaka mishale
Tutabadilika ila kwa mwaka huu sisi ndio mabingwa wa ngao ya jamii. Ila mwambie Robatinyo, tutakuja tumkate korodani akiendelea hiviSimba inatakiwa Tubadirike sanaa kama Tunataka Ubingwa wa NBC
Sasa ni wakati yanga naye apewe kombe la kufa kiume. Kama tff hawana wapewe lile alilochukua simba msimu uliopitaYanga kafa kiume
Mimi nasubili offer ya nyapu tu kutoka kwa mrembo mmoja wa Simba, dompo dinner na hotel bill yangu.Aliiii Aliiiiiii Aliiiiii Aliiiiiii Aliiiiiiiii Aliiiiiiii
Nakubaliana nawewe, tutajua mbivu na mbichi. Tusubirie...Mechi 10 za mwanzo za ligi kwa Yanga na Simba zitatoa mwelekeo...