Simba yaufyata kwa Kigwangwala, wampigia simu, kutia nguvu

Simba yaufyata kwa Kigwangwala, wampigia simu, kutia nguvu

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hayawi hayawi yamekuwa baada ya Mwamedi kuikacha team na hali kuwa mbaya huku vi akiba vikiisha kabisa,Said bagalile a.k.a Hamis Kigwangwala alitoa sharti kwamba wampigie simu kama wana shida yeye asaidie usajili na mengineyo .....yote hayo aliyasema huko jamhuri ya twitter katika juhudi zake za kuwafunua macho wana simba jinsi wanavyoibiwa na kunyonywa na Mo dewji

Kigwangwala the don amekuwa akichukizwa sana na simba inavyofanya vibaya tangu Mo aichukue huku bilions 20 zikiwa hazionekani, jamani si mumuchukue kigwa muende benki mkamuonyeshe kama 20 B zipo?

kurukaruka kwa maharage ndo kuiva kwake bwasheee hatimaye Mwenyekiti wa simba kapiga simu kwa Bagalile na kujisalimisha

Tutarajie vyuma kutoka mamelodi sundowns au zamalek ,wydad kutua week hii na mishahara kupandishwa..usiulize sana mengine ya wapi anapata pesa hayakuhusu kamuulize CAG au Q NET

NI WAKATI WA FURAHA MSIMBAZI...KIGWA THE DON IN THE HOUSE.

SIMBA KIGWA.JPG
 
Yaani hata hujaelewa hilo andiko la Kigwangala na ukakurupuka kuja kuandika lol.
 
Yaan hata hujaelewa hilo andiko la Kigwangala, na ukakurupuka kuja kuandika lol.
Za ndanindani ninazo kilio kilikuwa kikubwa sana hapo Bagalile haja disclose yote wewe ulitaka aseme jinsi simba walivyomlilia?

bagaile 2.JPG
 
subiri kigwa anashusha vyuma week hii vitatu ,CAG mwenywe anajua jamaa ni DON alichotaka ni simu ya kuombwa asaidie na keshapigiwa
Labda vyuma vya scrapper. Bodaboda tu alishndwa kununua akaenda kuomba msaada kwa tapeli Mo. Kigwangala tapeli kama matapeli wengine tu. Baraka ya kubwabwaja tu.

Huyo akipewa mamlaka simba mpaka jengo la msimbazi atauza.
 
Back
Top Bottom