Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Simba wamepoteana masikini wee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jina umeliokota wapiSaid bagalile a.k.a Hamis Kigwangwala alitoa
jina la kuzaliwa hilo muulize hamis aliliokota wapiHili jina umeliokota wapi
Tuliza ngenga weeeee. tajiiri la Q net jana lilitoa hii amri na leo imetekelezwa..subiri sasa uone matusi ya Kigwa the donHabari uliyoleta hapa nimeisoma yote sijaona popote huyo Kigwa wako aliposema kaombwa msaada wa fedha za usajili, huu utoto wako wa kujitungia story mpaka lini.
Ulichofanya ni kudhihirisha wehu wakoMashabiki wa Simba tunamuona Kigwangala kama mnafiki na mwehu aliyapata wehu baada ya kunyimwa mkopo wa pikipiki na Mo.
Mkubwa ulishiriki kwenye mazazi ya huyu mwambajina la kuzaliwa hilo muulize hamis aliliokota wapi
Kwani anayeropoka mitandaoni ni Kigwa pekee??Amepigiwa simu kupewa updates ili aache kuropoka mitandaoni asiyoyajua, utopolo huwezi kuelewa jambo dogo kama hili?!