Hala Madrid_
Member
- Feb 27, 2022
- 48
- 87
Uko sahihi na linafahamika shida inakuja nani atasema hayo mambo kuhusu huyo CEOCEO wetu anamadhaifu makubwa ila muda ukifika itafahamika tu,kwasasa ukilisema hilo aueleweki mpaka muda sahihi utakapofika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi na linafahamika shida inakuja nani atasema hayo mambo kuhusu huyo CEOCEO wetu anamadhaifu makubwa ila muda ukifika itafahamika tu,kwasasa ukilisema hilo aueleweki mpaka muda sahihi utakapofika.
Huyo si wa chooni ni wa vichakani mpuuze tuKabla ya kuandika uwe unaenda Chooni kwanza
Babra na watu wa usajili wana tatizo la ubahili , hawajui usajili ni kutoboka tu ,tumekaa msimu mzima hatuna striker wa maana baada ya Mugalu na Kagere kuflop.Inabidi simba wajitambue. Haiwezekani recruitment ya makocha inakuwa mbovu maana yake screening process ni mbovu kabisa...
Utamkosesha ulaji mjomba yako MangunguTukisema viongozi wajiuzulu mnatunanga ndio maana tunaitwa mambumbumbu
Mletee mdhunguuWalimchelewesha, tulifungwa na Yanga, kwa upuuzi wa kumchezesha Mwanuke, na mzungu, wale wazuri waliocheza kipindi cha kwanza unawatoa tunafungwa kipindi cha pili, mechi zote za kirafiki ni kufungwa na draw na mechi zote tulizoshinda ni juhudi binafsi za wachezaji hamna ubunifu wa kocha.
Sijui itakwaje na mechi ya kimataifa ndo next week
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwisha habari
hamna aliyeko serious na Yanga, Simba malengo ni kimataifa siyo kushindana na Yanga wenye malengo ya kumfunga simbaHalafu Kuna Makolo bado wanajipa matumaini kuwa Wana timu ya kuchukuwa ligi, kumfunga Yanga na kuingia makundi CAF....HIV nyie Makolo ni kwa Timu gani mliyokuwanayo..
YangaTutaendelea kuchukuwa makombe yote Hadi mkimbie nchi.
Just imagine Timu inaingia mashindanoya kimataifa halafu Haina Kocha na bado uongozi una migogoro..
Matola hana leseni ya kuweza kumruhusu kukaa kwenye benchi kama head coach kwa Caf champions league ila kama sio hvyo angeachiwa team.Mpeni timu Matola sasa.
Na mwezi wa 10 msipokaa sawa mtamfukuza mwingine
Kutoka maktaba, kumbukizi Mujaraaab , Wanathiiiimbaaa[emoji23]View attachment 2347540
[umeua]
[emoji23][emoji23] AlooNyumbu wamevamia uzi wanasahau hata al ahly wametimua kocha wao baada ya kudumu naye kwa miezi miwili tu club zenye malengo makubwa hazikai na makocha.
Nyie lengo lenu kushiriki kimataifa, Yanga lengo letu ni kubeba makombe.hamna aliyeko serious na Yanga, Simba malengo ni kimataifa siyo kushindana na Yanga wenye malengo ya kumfunga simba