Orlando_
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 662
- 1,209
Kama hiyo timu ilicheza na wababe sawa ila kama ilicheza na vitimu vya kajificheni silioni somo..Msimu uliopita kuna timu ilitoa somo la jinsi ya kucheza fainali na sio kuishia robo, msimu huu kaishaingia anapiishia mwenzie ngoja tuone kama na huku atatoa somo hilo au lah