Simba Yaweka Rekodi ya Dunia na Dreamliner

Simba Yaweka Rekodi ya Dunia na Dreamliner

Maramla

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
588
Reaction score
648
ACHANA NA WALE.WAMBEA WA TAIFA:Klabu ya soka ya Simba ya Tanzania leo imeweka rekodi ya dunia ya kuwa timu ya kwanza ya soka duniani kupanda Dreamliner ya Air Tanzania waliposafiri kutoka KIA kwenda Mwanza.
8aa977ea-684c-4751-9788-19e661246f2e.jpg
 
ACHANA NA WALE.WAMBEA WA TAIFA:Klabu ya soka ya Simba ya Tanzania leo imeweka rekodi ya dunia ya kuwa timu ya kwanza ya soka duniani kupanda Dreamliner ya Air Tanzania waliposafiri kutoka KIA kwenda Mwanza.
8aa977ea-684c-4751-9788-19e661246f2e.jpg
 
ACHANA NA WALE.WAMBEA WA TAIFA:Klabu ya soka ya Simba ya Tanzania leo imeweka rekodi ya dunia ya kuwa timu ya kwanza ya soka duniani kupanda Dreamliner ya Air Tanzania waliposafiri kutoka KIA kwenda Mwanza.View attachment 839082
Kwani kuna shida kusema dreamliner yetu imepona Kwani si tulisema imeharibika,
 
Kweli watanzania wengi wanaumwa. Kupanda ndege ni habari? Nilidhani Simba nao wamenunua ndege. Haina tofauti kuingia kijijini na Gari aina ya Starlet kijiji kizima wanaikimbiza.
 
Back
Top Bottom