"Eti Simba Baba anafanya vitu wengine wanashindwa" embu niambie hayo mambo makubwa aliyofanya Simba na wengine wakashindwa au haya ya kuishia robo fainali?Ungesema Simba inahitaji kusajili wachezaji wa kuamua matokeo katika mechi ngumu za kimataifa sababu uzoefu upo huenda ungeeleweka...
simba ni hawa aliyetoka ubavuni Mwa mwanaume Yangaa .Ungesema Simba inahitaji kusajili wachezaji wa kuamua matokeo katika mechi ngumu za kimataifa sababu uzoefu upo huenda ungeeleweka...
Mwakarobo fcAmeshindwa kikanuni
Unashindwa vipi kulinda goli kwa kasha na damu na unajua ndo turufu pekee tuliyonayo, senegal Anampiga bingwa mtetezi 2002 na analinda goli mpaka mwisho sisi tunashindwa kitu gani
Unfananisha vitu viwili tofauti rejea timu ya senegal ilikuwa na watu gan na simba ima watu ganUnashindwa vipi kulinda goli kwa kasha na damu na unajua ndo turufu pekee tuliyonayo, senegal Anampiga bingwa mtetezi 2002 na analinda goli mpaka mwisho sisi tunashindwa kitu gani
Hakuna spirit ya upambanaji,hivi hata kumuanzisha Bocco sijui Kocha alikuwa naaana gani[emoji848]
Wakati mwingine ndugu zangu mjifunze kunyamaza tu sio kulaumu siku huyu kocha akipita hatua kubwa mnachange nyie mnaanza kumuona mtu, sawa aondoke aje nani? Toka ausems aondoke simba imehangaika na makocha wangapi mnachukulia vitu kirahisi mnoKocha huyu haha plan . Kocha anabahatsha tu
Kocha mwenye akili baada ya lile goli alitakiwa kujua nini cha kufanya immediately
Upo sahihi simba alitokea kwa yanga kwahiyo mkubwa atabaki kuwa mkubwa tusimba ni hawa aliyetoka ubavuni Mwa mwanaume Yangaa .
Nyie chongeni tu lakini mjue mko nao makundi"Eti Simba Baba anafanya vitu wengine wanashindwa" embu niambie hayo mambo makubwa aliyofanya Simba na wengine wakashindwa au haya ya kuishia robo fainali?