Simbachawene atetea uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara. Avuliwe Uwaziri!

Amezingua

Simbachawene bado anamuwaza mZiLaNkeNdE

Hawa ndio wanaotetea legacy katili yake.

Jamaa ni sukuma gang Nini!?
 
Labda kama anajichafua mwenyewe , video umewekewa pale bado nayo huiamini ?
 
Ndio nakwambia mkuu Tanzania hii watu hawachagui kwa sera, kuna kuangalia chama(ccm au upinzani) kuna umaarufu wa mtu yeye mwenyewe na mwishoni hela pia inaweza kukufanya ukachaguliwa ila sio sera. Yani wewe sio maarufu kisha uende kugombea kupitia chama kisicho na wanachama wengi yani sio chama maarufu na hela hauna unategemea sera tu...Aisee!
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 

Hawezi kuvuliwa!
 
Simbachawene kasema upinzani wa kistaarabu bi wa facts, suyo matusi. Mfano pekee wa aina hii ni dhana ya mafisadi aliyokuwa anaiibua Dr Slaa wa CHADEMA, ndipo ikajizolea sifa rufufu. Uchoyo na ubinafsi wa Viongozi wa CHADEMA, na uchu wa hela na uchu wa madaraka, sera ya mafisadi wakaiya stone dead pale walipopokea hela za fisadi mkuu Lowassa awe ndiyo mgombea wa CHADEMA wakaanza kumnadi fisadi nchi nzima kwa helicopter. Dr Slaa akajiuzulu, CHADEMA ikashindwa, na Lowassa akarudi CCM. Tangu pale CHADEMA si CHADEMA tena. Utamwamini Mbowe aliyepokea hela? Utamwamini Tundu Lissu aliyemnadi fisadi Lowassa nchi nzima? Kwa hoja ipi?
 
Kete kubwa kwenye mikutano itakuwa ni kumponda na kumkejeli Jiwe kwa jinsi alivyokandamiza demokrasia, alivyoua na kuteka watu hasa aliotofautiana nao ki mitazamo, alivyopora mali za watu and the list is endless.
Baada ya hapo tuone nyie aliye kwenye mioyo yenu reactions zenu zitakuwaje, huu mchiriku wa eti asisemwe ndiyo unazidi kuongeza dhamira ya watu kumsema.
Mliobwia asali enzi za Jiwe waacheni wenzenu nao wabwie, kutesa kwa zamu.
 
Kalikoroga mwenyewe huyo, it's not personal bali haya yote ni matokeo ya kauli zake.
Kwa kifupi anavuna alichopanda.
 
Kawadanganye wengine.... Kawadanganye ...Wazungu, Waarabu, Wahindi na Neanderthral wengine...

Hata hivyo sidhani kama wanaamini Uongo na Propaganda hasi inayoelekezwa kwa Hayati Raisi. Wanakusoma.

. Hii ni Tanzania. Jamhuri ya Muungano wa Watanzania na sio ya Maharamia.

Mtateseka sana....ngoja niende Kimara.
 
Unaweza kutuwekea hapa kiasi ambacho Mbowe alipokea kutoka kwa Lowassa ?
 
Hajitambui huyo mhawiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…