Simbachawene atetea uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara. Avuliwe Uwaziri!

Simbachawene atetea uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara. Avuliwe Uwaziri!

Kwa kelele hizi utadhani irrelevance ya vyama vya siasa vya upinzani ilisababishwa na zuio la Magufuli. Magufuli alichofanya kwa muda mfupi ni kutuonyesha rangi halisi za wanasiasa. Wawe wa upinzani, wawe wa CCM...

Mkuu, kwasababu ya taaluma yake, Lissu alijikita sana kuufundisha umma wa watanzania kuhusu tenets za demokrasia yaani utawala wa sheria, uhuru wa mahakama na ukuu wa bunge linalowakilisha wananchi kwenye dola.

Haya ni mambo ya msingi ambayo watanzania wengi hawana ufahamu nayo na wanapaswa kujuzwa.

Lissu akiongelea haya bado atasikilizwa au nikuulize mkuu kuwa kama alikuwa hana la ziada kwanini walijaribu kumkomesha kuongea kwa mtutu wa bunduki?
 
Kuruhusiwa Mikutano ya Hadhara hakumaanishi, kuruhusiwa kuropoka, au ni sawa kuendeleza dhuluma, dhihaki na yanayo fanana nayo.

Sishangai, nina butwaa.

Unaweza eleweka tu bila ya kutoa kejeli-ndio michango ya kuleta Taharuki majukwaani.

I dare any politician kupanda Jukwaani na Kumdhihaki Hayati Raisi. Hata kwa Vijembe...kwani Yumo moyoni mwa watu wengi- Friends and Foes

Humu tuendelee na haya haya,(dhihaki, kejeli, matusi;na yote yahusishwayo na dhuluma) lakini kiuhalisia.... Kibuyu cha Asali kinanywewa. Kitaendelea Kunywewa tukiendelea na mtindo huu.

Amani iwafikie.
 
Waziri wa Nchi, Sera na Uratibu wa Bunge Simbachawene, ni miongoni mwa Mawaziri wa Serikali ya CCM ambaye anaonekana dhahiri kwamba hajaridhishwa na uamuzi wa kuondolewa kwa zuio batili la mikutano ya vyama vya siasa...
Yuko sahihi wala hajakosea kitu. Mama anajipendekeza bure kwa wapinzani hasa chadema. Inabidi ccm kujitahadharisha kwani mama anapoipeleka ni kupoteza kuaminiwa na umma na kutwaliwa dola na waliberali wanaotaka uhuru bila mipaka na ni watetezi wa ushoga.

Ccm ni chama cha ukombozi chenye lengo kuu kuwakomboa raia wa tanzania kiuchumi. Hakihitaji sera za porojo na malumbano ya kugawa watu huku yakiwafaidisha tabaka moja kuhodhi uchumi wa nchi.
 
Yuko sahihi wala hajakosea kitu. Mama anajipendekeza bure kwa wapinzani hasa chadema. Inabidi ccm kujitahadharisha kwani mama anapoipeleka ni kupoteza kuaminiwa na umma na kutwaliwa dola na waliberali wanaotaka uhuru bila mipaka na ni watetezi wa ushoga.
Ccm ni chama cha ukombozi chenye lengo kuu kuwakomboa raia wa tanzania kiuchumi. Hakihitaji sera za porojo na malumbano ya kugawa watu huku yakiwafaidisha tabaka moja kuhodhi uchumi wa nchi.
Hopeless.
 
Siyo sababu za hz mikutano Haina tija Ni vyema ufanyike mikutano ya ndani tu wa nje uwe mwishoni karibia uchaguzi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kelele hizi utadhani irrelevance ya vyama vya siasa vya upinzani ilisababishwa na zuio la Magufuli. Magufuli alichofanya kwa muda mfupi ni kutuonyesha rangi halisi za wanasiasa. Wawe wa upinzani, wawe wa CCM.

Mtu ka Lissu hivi hata baada ya kuruhusu mikutano ya hadhara ni kitu gani atasema ili watu tumchukulie serious?
Kama huelewi kuwa watu wapo serious dhidi ya maovu, madudu na madhaifu ya ccm basi shule ulienda kusomea ujinga.
Screenshot_20230105-234114.png
 
Amenukuliwa leo akitetea uamuzi ule wa kidikteta uliojaa uoga na ushamba kwamba ulikuwa halali kwa wakati ule, kwa vile serikali halali iliyochaguliwa na wananchi ilihitaji utulivu ili ilete maendeleo,
Sijamuelewa huyo waziri ana maanisha zuio lilikuwa applicable kwa wakati ule au anatamani lingeendelea!!!
 
Ila Tanzania hakuna upinzani kidogo marehemu Mtikila alijitahidi kwenda mahakamani kudai haki. Vyama vyote vilikaa bila kuchukua hatua yoyote walipozuia mikutano wakati CCM walikuwa wanafanya kila siku
Mpaka mtu afe ndipo unaonekana umuhim wake, akiondoka Mbowe mtaanza kumsifia.
 
Kwa kelele hizi utadhani irrelevance ya vyama vya siasa vya upinzani ilisababishwa na zuio la Magufuli. Magufuli alichofanya kwa muda mfupi ni kutuonyesha rangi halisi za wanasiasa. Wawe wa upinzani, wawe wa CCM.

Mtu ka Lissu hivi hata baada ya kuruhusu mikutano ya hadhara ni kitu gani atasema ili watu tumchukulie serious?
Na kama wanabisha wanavyolilia katiba mpya wailete iwe na kipengerele cha kuruhusu mgombea binafsi watauona moto wa watanzania
 
Waziri wa Nchi, Sera na Uratibu wa Bunge Simbachawene, ni miongoni mwa Mawaziri wa Serikali ya CCM ambaye anaonekana dhahiri kwamba hajaridhishwa na uamuzi wa kuondolewa kwa zuio batili la mikutano ya vyama vya siasa...
Kwani kwa sasa kuna maendeleo gani zaidi ya mchwa wa samia kufisidi nchi ...watz tukipata mashine kama jpm hata uchaguzi wa rais hatutaki ni kupoteza pesa bure tunatamani awe rais wa maisha
 
Back
Top Bottom