Simbachawene: Kupata kitambulisho cha NIDA siyo mwarobaini wa kutokuulizwa uraia wako

Mtu asikufananishe na Mgogo. Yaani majibu yake, hayatofautiani na majibu ya Ndugai. Hawa jamaa walizowea kukaa barbarani kuomba. Sio kupewa nafasi za utawala.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtu kama huyu aliwezaje kupata ubunge na baadae uwaziri?
 
Simbachawene ni "MZIGO" Mh. Mama Samia Suluhu Hassan angalia sana.

Kwamba vitambulisho vya NIDA wanapewa Wakimbizi na Wahamiaji Haramu ni AIBU NA FEDHEHA KUBWA kwa Serikali iliyopo MADARAKANI.

GHARAMA ZA KUTENGENEZA VITAMBULISHO VYA NIDA NI HASARA KWA TANZANIA NA WATANZANIA.

SIMBACHAWENE "JIUZULU " UMESHINDWA KUTETEA MATUMIZI YA SERIKALI.
 
Simbachawene anataka kusema nini in a nutshell?

Kwamba hizi "CITIZEN IDENTIFICATION CARDs" sasa zinatolewa mpaka kwa wahamiaji haramu kwa sababu Wizara yake imejaa watu wazembe, wasiojari na wala rushwa wakubwa kiasi cha kutoa vitambulisho kihohela?
Kwa nchi za wenzetu Simbachawene angepaswa kujiuzulu leo leo. Huo ni UPUMBAVU wa hali ya juu kwa kuwa Tanzania kabla ya vitambulisho vya NIDA ni sawa na Watanzania BAADA ya vitambulisho vya NIDA.

Ni upotevu wa Fedha za walipa Kodi wa Tanzania
 
Halafu ye mwenyewe anafanana na wanyarwanda
 
Wagogo nadhani kuna shida kubwa sn, ukianza na Ndugai, Simbachawene + Kabudi yaani hakuna mwenye nafuu hata kidogo
Hivi Kabudi kumbe ni mgogo?
Nilidhani ni Mkaguru
 
Hii nchi inachekesha, kwahiyo kwanza unapewa utambulisho wa uraia halafu ndio uhojiwe uraia wako.
Ni sawa na kumpa mgonjwa panadol halafu ndio umpime kama kichwa kinamuuma. Tanzania tuna safari ndefu sana.
Usikute mradi wenyewe ulikuwa ni dili la kupigia noti tu
 
Wacha kumlisha waziri matango pori yako hapa.
Alichokiongea yeye ndiyo tunakijadili hapa.
 
Simba chawene hajitambui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…