Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamerelax saaaaanaKunusuru hii hali, ajira za kudumu ziondolewe
Do you think even for a single day watamuondoa mtoto wa shangazi or mjomba?40 percent is just too much of a burden to shoulder. How did they hire the employees who have no value addition.
Results ya employment ya watoto wa mjomba, shangazi etc Kama wanajuwa ni mzigo, basi wawatoe!!
Kiongozi huwezi kutoa kauli kama hiyo hadharani halafu na solution huna. Ni bora ukae KIMYA
Naona waziri ndio mzigo kama tatizo umeliona unaanza kulalamika bila kutoa maamuzi. You are the biggest problem
Let me make this clear to everyone in this esteemed platform,Aisome Tlaatlaah , Lucas Mwashambwa , johnthebaptist , ChoiceVariable ,
Bila kusahau,
WAZALENDO WOTE WA HUMU NDANI JF.
Hiyo takwimu umeifanyia utafiti upi tuupitie?Nijambo la kustaajabu kama karibu nusu ya watumishi wa umma hawafanyi kazi.
Hiyo takwimu umeifanyia utafiti upi tuupitie?Nijambo la kustaajabu kama karibu nusu ya watumishi wa umma hawafanyi kazi.
Ukweli ni kwamba 95% ya watumishi ni wavivu wakubwa!Nijambo la kustaajabu kama karibu nusu ya watumishi wa umma hawafanyi kazi. Pamoja na uhaba wa nguvu kazi ulipo bado kuna nguvu kazi inakula mshahara wa serikali na hawafanyi kazi inavyo takiwa. Ikumbukwe kuwa tanzania ina watu walio katika nguvu kazi takribani milioni 25 kati ya watanzania milion 65. Hii inamaana kuwa watanzania milion 49 niwategemezi sasa hawa wacache waliopo bado kuna watu hawatumii nguvu zao vizuri kutumikia Taifa hili. 😪 maendeleo yatatoka wapi? Yani nguvu kazi ya milion 25, ukitoa hapo hawa wavivu , ukitoa hapo jobless na wale wadangaji sijui maendeleo tutatoa wapi
"
#HABARI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema zaidi ya asilimia 40 ya Watumishi wa Umma hawafanyi kazi licha ya kulipwa mshahara kila mwezi.
Amesema hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na Tume ya Utumishi wa Umma nchini
Mhe. Simbachawene amesema hayo leo jijini Arusha wakati akifunga Kikao kazi cha tano cha Serikali Mtandao ambapo amesema Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma wanawajibu wa kuhakikisha kila mtumishi anatekeleza majukumu yake ipasavyo.
‘’Watumishi ni lazima wafanye kazi kwani wasipofanya kazi wanakuangusha wewe Mkuu wa Taasisi, lazima tuwe na jamii inayoandaliwa kufanya kazi’’ amesisitiza Mhe. Simbachawene
Amefafanua kuwa kwa mujibu wa tafiti hiyo, wavivu, wazembe, wagonjwa pamoja na waliosusiwa kutokana na vipaji na uwezo wao ni asilimia 40 ya Watumishi wanaolipwa pasipo kufanya kazi
Amewataka Wakuu hao kuwatumia Watumishi wa Umma wenye vipaji na uwezo badala ya kuwafanyia fitina na hujuma hali inayopelekea kurudisha nyuma maendeleo ya nchi
Amesema hali hiyo imesababisha kutokuwepo kwa urithishanaji wa madaraka jambo ambalo limechangia kudhoofika kwa Taasisi pale kiongozi wa Taasisi anapostaafu au kuhama. #EastAfricaTV
Hayati MAGUFURI aliweza kurudisha nidhamu KAZINI MPAKA akaitwa majina ya OVYO Dicteta, roho mbaya...Kuna kipindi mpaka Kuna walio chelewa kazini vitu vyao vilichukuliwa na kupelekwa halmashauli ikabidi wavifuate huko😊Let me make this clear to everyone in this esteemed platform,
awamu ijayo ya uongozi wa serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu mpendwa na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan & Dr Emanuel Nchimbi,
kuanzia kwenye baraza la mawaziri, taasisi, mashirika na mamlaka mbalimbali za umma hadi watendaji wa ngazi za vijiji na mitaa nchini,
hapatakua na kasumba ya kuhamishwa wizara, shirika, kijiji au mtaa, ukivurunda unapigwa chini na unakwenda nyumbani mazima,
hapatakua na mzaha wala kumuonea mtu aibu wala haya kwa uzembe au makosa yake kazini na kwa kuendekeza mazoe kwenye kazi za utendaji za kuwapelekea wananchi maendeleo.
there will be no excuse at all 🐒
Sijasoma uzi wako lakini nakupinga vikali 60% ndio wavivu na 40% ndo wanajikakamua kufanya kazi zao tena ili mradi tu. kipindi cha jk ilikuwa kawaida kuwakuta waalimu wanacheza karata ama bao vijiweni muda wa kazi.Dr kumkuta anakunywa muda wa kaziNijambo la kustaajabu kama karibu nusu ya watumishi wa umma hawafanyi kazi. Pamoja na uhaba wa nguvu kazi ulipo bado kuna nguvu kazi inakula mshahara wa serikali na hawafanyi kazi inavyo takiwa. Ikumbukwe kuwa tanzania ina watu walio katika nguvu kazi takribani milioni 25 kati ya watanzania milion 65. Hii inamaana kuwa watanzania milion 49 niwategemezi sasa hawa wacache waliopo bado kuna watu hawatumii nguvu zao vizuri kutumikia Taifa hili. 😪 maendeleo yatatoka wapi? Yani nguvu kazi ya milion 25, ukitoa hapo hawa wavivu , ukitoa hapo jobless na wale wadangaji sijui maendeleo tutatoa wapi
"
#HABARI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema zaidi ya asilimia 40 ya Watumishi wa Umma hawafanyi kazi licha ya kulipwa mshahara kila mwezi.
Amesema hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na Tume ya Utumishi wa Umma nchini
Mhe. Simbachawene amesema hayo leo jijini Arusha wakati akifunga Kikao kazi cha tano cha Serikali Mtandao ambapo amesema Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma wanawajibu wa kuhakikisha kila mtumishi anatekeleza majukumu yake ipasavyo.
‘’Watumishi ni lazima wafanye kazi kwani wasipofanya kazi wanakuangusha wewe Mkuu wa Taasisi, lazima tuwe na jamii inayoandaliwa kufanya kazi’’ amesisitiza Mhe. Simbachawene
Amefafanua kuwa kwa mujibu wa tafiti hiyo, wavivu, wazembe, wagonjwa pamoja na waliosusiwa kutokana na vipaji na uwezo wao ni asilimia 40 ya Watumishi wanaolipwa pasipo kufanya kazi
Amewataka Wakuu hao kuwatumia Watumishi wa Umma wenye vipaji na uwezo badala ya kuwafanyia fitina na hujuma hali inayopelekea kurudisha nyuma maendeleo ya nchi
Amesema hali hiyo imesababisha kutokuwepo kwa urithishanaji wa madaraka jambo ambalo limechangia kudhoofika kwa Taasisi pale kiongozi wa Taasisi anapostaafu au kuhama. #EastAfricaTV
hata 40% ya kufanya kazi nakataa labda 20%Sijasoma uzi wako lakini nakupinga vikali 60% ndio wavivu na 40% ndo wanajikakamua kufanya kazi zao tena ili mradi tu. kipindi cha jk ilikuwa kawaida kuwakuta waalimu wanacheza karata ama bao vijiweni muda wa kazi.Dr kumkuta anakunywa muda wa kazi
yes maamuzi yake kama yeye ni yapi40 percent is just too much of a burden to shoulder. How did they hire the employees who have no value addition.
Results ya employment ya watoto wa mjomba, shangazi etc Kama wanajuwa ni mzigo, basi wawatoe!!
Kiongozi huwezi kutoa kauli kama hiyo hadharani halafu na solution huna. Ni bora ukae KIMYA
Naona waziri ndio mzigo kama tatizo umeliona unaanza kulalamika bila kutoa maamuzi. You are the biggest problem
Wengine sio wavivu hawajui au hawana uwezo kabisa wa kufanya kazi walizopewa tena wengine wanamatatizo ya akili kabisa lkn unakuta nea yumo eti mwalimu sijui dokta hawa watu wapo jamaniSijasoma uzi wako lakini nakupinga vikali 60% ndio wavivu na 40% ndo wanajikakamua kufanya kazi zao tena ili mradi tu. kipindi cha jk ilikuwa kawaida kuwakuta waalimu wanacheza karata ama bao vijiweni muda wa kazi.Dr kumkuta anakunywa muda wa kazi
Sahihi kuhakikisha hilo ni pale ukienda maeneo yao ya kaziWengine sio wavivu hawajui au hawana uwezo kabisa wa kufanya kazi walizopewa tena wengine wanamatatizo ya akili kabisa lkn unakuta nea yumo eti mwalimu sijui dokta hawa watu wapo jamani