Simbachawene: Ripoti zinaonesha zaidi ya 40% ya Watumishi wa Umma Tanzania hawafanyi kazi

Do you think even for a single day watamuondoa mtoto wa shangazi or mjomba?
 
Mtu anaingia saa tatu na nusu kazini,anazuga saa nne anaenda kupiga chai anakaa huko anarudi saa tano na nusu,anazuga saa sita na nusu ana kwenda lunch anarudi saa nane na nusu
Anazuga kazini saa tisa na nusu huyo kaondoka kwake
Ila yote anajuwa mshahara utaingiaaa....

Ova
 
Aisome Tlaatlaah , Lucas Mwashambwa , johnthebaptist , ChoiceVariable ,

Bila kusahau,
WAZALENDO WOTE WA HUMU NDANI JF.
Let me make this clear to everyone in this esteemed platform,

awamu ijayo ya uongozi wa serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu mpendwa na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan & Dr Emanuel Nchimbi,

kuanzia kwenye baraza la mawaziri, taasisi, mashirika na mamlaka mbalimbali za umma hadi watendaji wa ngazi za vijiji na mitaa nchini,

hapatakua na kasumba ya kuhamishwa wizara, shirika, kijiji au mtaa, ukivurunda unapigwa chini na unakwenda nyumbani mazima,

hapatakua na mzaha wala kumuonea mtu aibu wala haya kwa uzembe au makosa yake kazini na kwa kuendekeza mazoe kwenye kazi za utendaji za kuwapelekea wananchi maendeleo.

there will be no excuse at all 🐒
 
Ukweli ni kwamba 95% ya watumishi ni wavivu wakubwa!
 
Uimara wa hizo ngazi za juu hufanya hata za chini kuwa imari , ukiona hivyo jua ngazi za juu pia kuna shida.
 
Hayati MAGUFURI aliweza kurudisha nidhamu KAZINI MPAKA akaitwa majina ya OVYO Dicteta, roho mbaya...Kuna kipindi mpaka Kuna walio chelewa kazini vitu vyao vilichukuliwa na kupelekwa halmashauli ikabidi wavifuate huko😊

Kwa CCM hii ya mama simuoni huyo mwenye ubavu wa kuwa shurutisha Hawa wazembe wafanye kazi maana hata "MC GREGORY KWENYE THEORY X NA THEORY Y alipata kusema Kuna watu ni wavivu na hawataki kufanya kazi na pia kuna watu ni wachapakazi Sana.

Tuwafundishe watu wetu kua na moyo wa kupenda kazi hata Kama mazingira,malipo hakuna ni ku feel proud kufanya kazi kwa bidii hio ndio iwe spirit yetu..
 
40% takwimu haiko sahihi hata kdg, sema 80% kuna watu hawajui hata ofsn anaenda kufanya nini

hapo hatujazungumzia ambao hawaendi kabisa wanapotelea kwenye ulevi na kamari

nimewahi kuwa napanda daladala na watumishi halmashauri flani unashangaa anahairisha bila sababu na si mara moja wala mbili
 
Sijasoma uzi wako lakini nakupinga vikali 60% ndio wavivu na 40% ndo wanajikakamua kufanya kazi zao tena ili mradi tu. kipindi cha jk ilikuwa kawaida kuwakuta waalimu wanacheza karata ama bao vijiweni muda wa kazi.Dr kumkuta anakunywa muda wa kazi
 
yes maamuzi yake kama yeye ni yapi
 
Sijasoma uzi wako lakini nakupinga vikali 60% ndio wavivu na 40% ndo wanajikakamua kufanya kazi zao tena ili mradi tu. kipindi cha jk ilikuwa kawaida kuwakuta waalimu wanacheza karata ama bao vijiweni muda wa kazi.Dr kumkuta anakunywa muda wa kazi
Wengine sio wavivu hawajui au hawana uwezo kabisa wa kufanya kazi walizopewa tena wengine wanamatatizo ya akili kabisa lkn unakuta nea yumo eti mwalimu sijui dokta hawa watu wapo jamani
 
Wengine sio wavivu hawajui au hawana uwezo kabisa wa kufanya kazi walizopewa tena wengine wanamatatizo ya akili kabisa lkn unakuta nea yumo eti mwalimu sijui dokta hawa watu wapo jamani
Sahihi kuhakikisha hilo ni pale ukienda maeneo yao ya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…