BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Itakuwa Manula kampiga kipapai salumu. Haiwezekana kipa aliyelamba 2m za emirate za mchezaji bora jana tu, leo anadaka mpira kama Ashura cheupeMi nilitabiri Simba itapigwa na Wydad nikawaomba waje kushtaki hawakuja na Leo nilisema Tena watakandwa na Dube waje kushtaki ndo nawasubiri Niko hapa Buza kwa Mpalanger! Napata soda ya bariiidi!
Simba punguzeni mdomo sajilini Mayele! Kibu wa mechi moja hatoshi!
Na Leo Tena Makolo wamekufa kiume!
Baada ya mwaka ujao simba atacheza champions leagueyule Akaminko alikuwa anazunguka kama yuko peke yake pale kati,hivi chamaaaaa.....lkn basi,cjui nlitaka nseme nn yani!!!!
yule Akaminko alikuwa anazunguka kama yuko peke yake pale kati,hivi chamaaaaa.....lkn basi,cjui nlitaka nseme nn yani!!!!
Goli la kwanza Ally Salum katema Mpira kizembe wababe Azam wakamaliza, goli la pili hakujipanga vizuri golini alitoka sana wakati Onyango alifanya marking baada ya uchochoro Zimbwe kufeli kuruka na mtu, goli la pili la Azam angekuwa Diarra angepangua juu! Au Bacca angeclear!Itakuwa Manula kampiga kipapai salumu. Haiwezekana kipa aliyelamba 2m za emirate za mchezaji bora jana tu, leo anadaka mpira kama Ashura cheupe
Halafu makolo walivyo hamnazo watamtimua kocha. Kosa kubwaGoli la kwanza katema Mpira wababe Azam wakamaliza, goli la pili hakujipanga vizuri alitoka sana wakati Onyango alifanya marking baada ya uchochoro Zimbwe kufeli kuruka na mtu, goli la pili la Azam angekuwa Diarra angepangua juu!
But all in all Simba walizidiwa kiungo hadi Putin akapanic akadhani ni mchezo wa kick boxer full Mateke!
Haya Sasa ule wakati wa kufukazana umewadia!
Kakosa goli ambalo hata ashura cheupe angefungaChama kafanyaje tena wanetu[emoji23][emoji23][emoji23]
Tusiwe warahisi kuhukumu kumbuka mpira ni mchezo unaohitaji sana utimamu wa mwanadamu kila sekta, tuyakubalie matokeo tuangalie wapi tumejikwaa tujitafakari upya na tujipange upya tusonge mbele.Mbali na kupoteza mechi ya kimataifa kizembe na ku draw na Namungo lakini bado benchi la ufundi hawajifunzi na hata wachezaj hawaoneshi seriousness ya mechi zilizobaki. Wakiingia tu mikwaju ya penality basi wamekwisha.
Yajayo yanagurahisha.
mzee wa locomotive event,hana maajabu kabisa siku hz na km msimu ujao kocha atabaki kuwa robatinyo,mwamba wa lusaka anafyekelewa mbali....nipo paleeeeChama kafanyaje tena wanetu[emoji23][emoji23][emoji23]