BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Mbali na kupoteza mechi ya kimataifa kizembe na ku draw na Namungo lakini bado benchi la ufundi hawajifunzi na hata wachezaj hawaoneshi seriousness ya mechi zilizobaki. Wakiingia tu mikwaju ya penality basi wamekwisha.
Yajayo yanagurahisha.
Yajayo yanagurahisha.