philipophilipo
Member
- May 16, 2020
- 88
- 95
- Thread starter
- #41
ni hatari haka kadada.Kawimbo kanakoitwa Jericho kananimalizia mb zangu tangu nipate kukasikiliza, na huyo patoranking wamekutana wote mafundi ningekuwa msanii ningemtafuta huyu Kaka tukafanya yetu aina yake ya uimbaji uchezaji unanisisimua sana