Simiyu: Ahukumiwa kuchapwa viboko 8 kwa kosa la ubakaji

Simiyu: Ahukumiwa kuchapwa viboko 8 kwa kosa la ubakaji

kiislam
kwa dalili ipi?
Hakubaka huyo, wote wanalingana rika, hiyo ni "ashki majnun".

Kiislam hapo litakiwa walambwe viboko wote wawili halafu waowane.

Hao vijana ni afadhali kuliko wale wanaofanya ushoga na kusagana.
 
Kila siku nazidi kuthibitisha wewe sio mzima.




Kulingana rika ndio ruksa ya kumuingilia mwingine kimwili bila ridhaa yake?


Uislamu unalazimisha mwanamke kuolewa na mbakaji wake Kisa wanalingana umri?


Mahakama za Juvenile kazi yake nini? Magereza ya Juvenile yametengwa kwa ajili ya nani?

Ubakaji ni kosa la jinai, ni kitendo kinachodhuru mwili na afya ya akili. Kubakwa sio starehe ni udhalilishaji.
huyo anajichanganya hakuna mtazamo wa hivyo katika uislam
 
Hizi sheria zingine hizi pasua kichwa sana na ndio maana kuna muhindi aliumaliza mji mzima kwa kutembea huku akiimba andhakanoon
 
Mkuu hatujawasikiliza wahusika huyo kijana wa kiume na binti. Mi sidhani kama hakimu ni mpuuzi kutoa adhabu hiyo ambayo nadhani wewe unaona haifai kwa hilo kosa naamini kuna mazingira fulani hakimu aliyashtukia kwenye maelezo ya hao madogo.

Nakwambia hivi kwasababu mimi kwenye utoto wangu around miaka 16 kuna mama mmoja alinikuta kwake na binti yake nae umri huo huo alivyokuja kusema kwa wazazi wangu alimpanga mwanae aseme nilimlazimisha huku tulikubaliana ( halafu nilikuwa mrefu kabinti kadogo dogo unaweza kuamini yaani) sijui walimalizana vipi na wazazi wangu baadae ila nahisi alitaka kuomba hela.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app


Sawa.



Lakini hapa tunaijadili hukumu na sababu alizotoa huyo hakimu kwanini katoa hiyo hukumu.


Na Kama hakimu amewashtukia Kama unavyosema, sheria inamtaka kubainisha wazi ni kipi amebaini kwa mtuhumiwa na muhanga mpaka kutoa hukumu hiyo.

Kama amegundua walipatana ilipaswa kuwa bayana kwenye hukumu na sio sentensi moja tu kwanini kaagiza faini ya shilingi laki 3.

Hapa dhana ya kwamba binti alikubali na hiyo faini ni malipo ya hilo tendo inaishi?

Maana Kama kabakwa kweli hiyo laki 3 inamsaidia vipi katika kujitibu kimwili na kisaikolojia?



Kumbuka sheria ipo kwa ajili ya kurekebisha na kutoa muongozo + onyo kwa waliopo pembeni kutokutenda kosa Kama hilo.







Tukio lako haliwezi kuwa ndio kipimo cha matukio yote.

Kama ambavyo wewe ulinusulika kusingiziwa wapo wanaotendewa jinai na kusingiziwa kwamba walitaka wenyewe.

Mfano rahisi ni humu kwenye hii topic, michango mingi inahalalisha kitendo kilichotokea na ku support hukumu.

Mabinti wengi sana wanapitia unyanyasaji wa kingono na kuharibiwa psychology ya mapenzi, ngono na mahusiano.

Wengi kwa kuogopa stigma Kama hii humu ndani hukaa kimya na kuyaishi manyanyaso hayo siku zote za maisha yao.

Sasa wengi huziba shimo la maumivu hayo kwa kuwa malaya (anajiona hana thamani tena) na wengine kuwa wakorofi kwenye mahusiano yao ya ndoa na jamii kwa kuishi na hasira za kutendwa na kunyanyaswa.

Mwili wa mtu ni mali ya mtu mpaka pale Katiba ya nchi inapoguswa.



Halafu Kama kuna mazingira ya mapatano kati yao ama kujuana, kwanini mbakwaji kajeruhiwa mwili?








Waandishi pia wanaoleta Habari wawe wanatupa na background ya tukio na picha halisi ya mazingira wakati wa tukio.
 
Mtoto amebakwa mahakama inasema hajabakwa ila amlipe ujira wa uchangudoa! Haikubaliki kitendo cha mahakama kumfundisha mtoto kuwa mwanaume akikuingilia basi ni lazima akulipe pesa ya huduma.
Aisee hakimu kamfundisha uuzaji wa nyabe tena kwa gharama kubwa maana huku mtaani huwa nyabe ni tshs 20,000/- mpaka asubuhi. Dogo kalamba kimoja tu kwa gharama kubwa pole zake.
 
kiislam
kwa dalili ipi?
Qur'an 24:
2.
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini. 2
3. 3mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Waumini. 3
 
Mtoto amebakwa mahakama inasema hajabakwa ila amlipe ujira wa uchangudoa! Haikubaliki kitendo cha mahakama kumfundisha mtoto kuwa mwanaume akikuingilia basi ni lazima akulipe pesa ya huduma.
Hujaelewa. Itakua huyo binti alikua bikra. Alipotolewa, akapiga kelele watu wakakusanyika.

Kujitetea ikabidi aseme kabakwa bila kuelewa madhara ya mwenza wake.

Wananchi wakaamua kumpeleka polisi kwa shtaka la kubaka lakini kwa akili ndogo nilizonazo, naona kabisa walikubaliana hao vijana
 
Qur'an 24:
2.
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini. 2
3. 3mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Waumini. 3

Qur'an 24:
2.
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini. 2
3. 3mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Waumini. 3
Sasa hizo Ayat ni dalili ya ubakaji na sio uzinifu?
kwa hiyo anayebakwa anakuwa kafanya uzinifu?
Fahamu katika uislam sharti la
ndoa ni pamoja na ridhaa
usitafsiri aya
kwa matamanio na
ufahamu wako
jifunze kwanza kabla ya kauli
kumbuka kwa mujibu wa
uislam hao ni mukhalaf kwa maana wameishabaleghe kwa hiyo usitafsiri uislam kwa mtazamo wa
kimagharibi
 
Sasa hizo Ayat ni dalili ya ubakaji na sio uzinifu?
kwa hiyo anayebakwa anakuwa kafanya uzinifu?
Fahamu katika uislam sharti la
ndoa ni pamoja na ridhaa
usitafsiri aya
kwa matamanio na
ufahamu wako
jifunze kwanza kabla ya kauli
kumbuka kwa mujibu wa
uislam hao ni mukhalaf kwa maana wameishabaleghe kwa hiyo usitafsiri uislam kwa mtazamo wa
kimagharibi
Hakimu aliyetowa adhabu hiyo aliyotowa naamini ana hekima sana ana kaiona siyo kesi ya ubakaji akaona inabidi kijana atiwe adabu ya viboko.

Angetowa hukumu ya ubakaji kwa uchache miaka 30 ingemuhusu.
 
Sasa hizo Ayat ni dalili ya ubakaji na sio uzinifu?
kwa hiyo anayebakwa anakuwa kafanya uzinifu?
Fahamu katika uislam sharti la
ndoa ni pamoja na ridhaa
usitafsiri aya
kwa matamanio na
ufahamu wako
jifunze kwanza kabla ya kauli
kumbuka kwa mujibu wa
uislam hao ni mukhalaf kwa maana wameishabaleghe kwa hiyo usitafsiri uislam kwa mtazamo wa
kimagharibi
Naona wewe ndiye mwenye kutafsiri, sijaongeza langu hata herufi moja, nimeziweka aya kama zilivyotafsiwa na Barwani, usiuogope ukweli.
 
Hujaelewa. Itakua huyo binti alikua bikra. Alipotolewa, akapiga kelele watu wakakusanyika.

Kujitetea ikabidi aseme kabakwa bila kuelewa madhara ya mwenza wake.

Wananchi wakaamua kumpeleka polisi kwa shtaka la kubaka lakini kwa akili ndogo nilizonazo, naona kabisa walikubaliana hao vijana
Huo ndiyo ukweli,dada yawezekana alielewana na jamaa,akaenda kutolewa bikra,alivyopata maumivu,akapiga yowe,walivyokuja wadau,wakashindwa kutumia busara,wakaenda polisi.Huku Afrika,bikra inatolewa kwa lazima,yaani kikatili,ukiremba huitoi,na iko wazi kua wadada huanzwa maranyingi kinguvunguvu,baadae ndo hiyari hufuata.
 
Naona wewe ndiye mwenye kutafsiri, sijaongeza langu hata herufi moja, nimeziweka aya kama zilivyotafsiwa na Barwani, usiuogope ukweli.
Barwan hajatafsiri Bali kafanya Tarjama
tofautisha tafsiri na Tarjama
tafsiri umeitoa wewe
 
nakukumbusha Tena
katika uislam ndoa hailazimishwi Bali ipatikane ridhaa
Sasa
utawafungishaje ndoa
watu
ambao
hawajotayari.kuoana? hizo ni mila za kiswahili
na jihahil
 
Back
Top Bottom