Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Nipo
USAUnaumia ukiwa wapi na wivu wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USAUnaumia ukiwa wapi na wivu wako?
saAdui wa CCM ni Chawa wake Lucas na wengine.
Mimi ni msema kweli muda wote.Msaka tonnge namba Moja,
Lukas Mwashambwa
Mimi ni mzalendo wa kweli.Adui wa CCM ni Chawa wake Lucas na wengine.
Adui wa CCM ni Chawa wake Lucas na wengine.
NjaaAdui mkubwa zaidi katika nchi hii siyo Chadema na Wala siyo wapinzani au wakosoaji.
Muda siyo mrefu anakuja kufunga hadi makao makuu ya CHADEMA.
Basi subiri utakapoona chama kinafungwa makao makuu na viongozi wake wote kuhamia CCMCCM wameshaanza kununua wanasiasa na wanachama
kwa nini wanunue wanasiasa wa upinzani na sio kuwatengeneza ndani ya chama chao
Kitafungwa na LucasBasi subiri utakapoona chama kinafungwa makao makuu na viongozi wake wote kuhamia CCM
Waende tu,hao wote ni sukuma gang.What's wrong?
Unategemea nini chama ambacho katiba ni Mwenyekiti?What's wrong?
Si kuna uzi kwamba hao si wanachama wa chadema bali msigwa ameokoteza mtaani na kumdanganya mchimbi na makala.What's wrong?
Katibu Mkuu wetu atakuja kuzifunga ofisi zenu hapo Ufipa😀😀😀.maana kwa sasa viongozi wenu wamejikatia kabisa tamaa.si unaona mnyika anavyolialia na kulalamika lalamika kama mtoto mdogo eti akitaka serikali imsaidie kuhamasisha watu kwenda kujiandikisha kwenye daftari la orodha ya mpiga kura.Kitafungwa na Lucas
Tafuteni na kuanzisha ofisi kwingine.Bado ofisi za kanda nazo zinakwenda kufungwa zote kabla ya kufunga makao makuu.utaona utakavyo kufa na njaa na ujinga wako kichwaniAcheni utapeli nyie wajinga