Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Hali ya Uchaguzi huko Simiyu inaonekana ikiwa si shwari.
Hapa ni moja ya maeneo ya kupigia kura huko Simiyu, kama mnavyooona huyo baba hapo nadhani ni wakala wa CHADEMA anauliza kwanini kuna kura kabla ya wananchi kuanza zoezi lenyewe?
Hali ni mbaya!
Hali ya Uchaguzi huko Simiyu inaonekana ikiwa si shwari.
Hapa ni moja ya maeneo ya kupigia kura huko Simiyu, kama mnavyooona huyo baba hapo nadhani ni wakala wa CHADEMA anauliza kwanini kuna kura kabla ya wananchi kuanza zoezi lenyewe?
Hali ni mbaya!