milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Tatizo hawataki mama asemwe kwa mabaya. Wanatamani asemwe kwa mema tu. Akisemwa kwa mabaya lazima wamtetee kwa kila hali. Mazuri yote yake, mabaya wanapewa wananchiDC Busege Ke
RPC simiyu Ke
Rc Dodoma alikuwa ke
Afande aliyewatuma,alikuwa ke
Kuna tatizo mahali!
An Hawa viongozi hawajapotelewa na watoto wao kutokana na ulinzi walionao tayari that's why wanatutreat like nonsense, kodi zetu ndo zinawalipa ndo zitutese? Sometimes nakaa nawaza huyo kiongozi ukiachana na cheo ananizidi Nini Mimi au mwenzetu anamiguu minne au haendi maliwatoni ama🤔Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).
Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”
Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”
Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Watoto waliopotea Hawa hapaAkizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).
Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”
Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”
Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Sasa angepigwa mawe na watu 108 angekuwa hai, jeshi la polisi liwe na mbinu sio hii ya sombasomba tukapembue mbele, kweli katiba mpya ikipita polisi watalia sanaAkizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).
Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”
Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”
Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Haawa wanachojitengeneza na kukitafuta iko siku watakipata!Mpigwe mawe tu washenzi nyie.
Kabisa ipo siku Wananchi wataonekana wabayaHaawa wanachojitengeneza na kukitafuta iko siku watakipata!
Wanawachukulia raia poa poa
Ova