Simiyu: Mkuu wa Wilaya ya Busega: Nimepigwa mawe wakati wa Maandamano, tumewakamata Watu 108

Simiyu: Mkuu wa Wilaya ya Busega: Nimepigwa mawe wakati wa Maandamano, tumewakamata Watu 108

Attachments

  • IMG-20240820-WA0000.jpg
    IMG-20240820-WA0000.jpg
    291.1 KB · Views: 1
  • 5802797-150989d9463ebf5a1bee3ec1a6ab93fb.mp4
    8 MB
DC Busege Ke
RPC simiyu Ke
Rc Dodoma alikuwa ke
Afande aliyewatuma,alikuwa ke

Kuna tatizo mahali!
 
naomba wananchi kila kona waamke wawapige mawe hadi wafe maana wajinga wanastahili adhabu...kama wameshindwa kuwalinda jilindeni tu!
 
DC Busege Ke
RPC simiyu Ke
Rc Dodoma alikuwa ke
Afande aliyewatuma,alikuwa ke

Kuna tatizo mahali!
Tatizo hawataki mama asemwe kwa mabaya. Wanatamani asemwe kwa mema tu. Akisemwa kwa mabaya lazima wamtetee kwa kila hali. Mazuri yote yake, mabaya wanapewa wananchi
 
Inaumiza sana. Wananchi wanalipa kodi kuwalipa polisi, kuwanunulia bunduki, kuwanunulia magari lakini polisi muda wao mwingi wanautumia kuwa vibaraka wa watawala na sio kutekeleza majukumu yao ya msingi ya kuwalinda wananchi na mali zao.

Kwa kuwa polisi na viongozi hawajitambui wala kuyatambua majukumu yao ya msingi, italazimu wananchi kuchukua hatua dhidi yao.
 
Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).

Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”

Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”

Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
An Hawa viongozi hawajapotelewa na watoto wao kutokana na ulinzi walionao tayari that's why wanatutreat like nonsense, kodi zetu ndo zinawalipa ndo zitutese? Sometimes nakaa nawaza huyo kiongozi ukiachana na cheo ananizidi Nini Mimi au mwenzetu anamiguu minne au haendi maliwatoni ama🤔
 
Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).

Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”

Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”

Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Watoto waliopotea Hawa hapa
 

Attachments

  • IMG-20240820-WA0000.jpg
    IMG-20240820-WA0000.jpg
    291.1 KB · Views: 1
Akizungumzia maandamano yaliyotokea Lamadi, Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, Faiza Salim amesema athari zilizotokea baadhi ya Viongozi kushambuliwa kwa kupigwa mawe akiwemo yeye (Faiza).

Amesema kwa muda wa miezi minne aliyokuwa katika nafasi hiyo hajapata taarifa ya Watoto kupotea. Amesema “Mabomu ya machozi yamepigwa kwa kuwa walizuia magari yote, wameharibu Miundombinu, maduka... Mamlaka hatuwezi kukubali hilo.”

Kuhusu taarifa za Waandamanaji kupoteza maisha, amesema “Sijapokea taarifa kama kuna mtu amekufa, inawezekana yapo majeraha madogo, baadaye tukimaliza oparesheni tutatoa taarifa kamili, mpaka sasa tumewakamata Wtu 108 na tunawapeleka Mahakamani.”

Pia Soma ~ Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea
Sasa angepigwa mawe na watu 108 angekuwa hai, jeshi la polisi liwe na mbinu sio hii ya sombasomba tukapembue mbele, kweli katiba mpya ikipita polisi watalia sana
 
Kwa maana iyo anamanisha wao ni vichaa kuandamana? Watoto wao wanapotea YY yuko ofisini tu field ayupo.kisha anabisha.
 
huwa wanatuona kama sisi hatuna mamlaka na nchi yetu hatutakiwi kuhoji kitu dah 🔥🔥ila kwa nlichoota leo wakuu soon tu
 
Back
Top Bottom