Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza alikuwa na ziara Mkoa wa Simiyu?
Alikua anapita njia kutokana na jiografia ya maeneo haya unaweza ukapita mkoa tofauti lkn destination yako ikawa kwny eneo la mkoa huo ulikotoka
 
Nilimuoña mkuu wa mkoa wa Mwanza kwenye kuaga miili. Angetumia watu wake kukemea mbio zisizo na tija kwenye misafara ya magari ya serikali mkoani mwake, haya yasingetokea.
 
Maskini shemeji yangu Antony Chuwa amekufa anamdai Dialo wa start tv madai yake, hakika dialo jasho la watu wanaokudai na umeamua kuwadhulumu wanakufa Kila Leo wanaacha madai yako halitakuacha salama.

Watu wanakufanyia kazi miaka nenda Rudi, unahamia kuwadhulumu, huyo chuwa kaacha mjane mwenye mimba KUBWA ya mapacha anajifunguq muda wowowte, kaaccha na mapacha wanne,
Tafadhali mope haji zake alee watoto wake.
 
Alikuwa anaenda Ukerewe
Ajali ni ajali tu nakubaliana na hilo, lakini ukweli ni kwamba Ukerewe kuwa Wilaya ya Mkoa wa Mwanza imeishachukuwa roho za mamia majini na barabarani kuliko kama Ukerewe ingepewa Mkoa wa Mara. Kupitia majini inachukuwa nusu siku (masaa 5 hadi 6), kupitia barabarani ni takriban muda huo huo (Mwanza Bunda masaa 2, Bunda Kisorya masaa 3, Kisorya Ukerewe nusu saa hadi saa 1).

Niliwahi kuchagiza humu kwamba Ukerewe ipelekwe Mara toka Mwanza. Tutaokoa roho nyingi kuendelea kupotea. Pia nikachagiza kwamba Mafia ipewe Dsm toka Pwani (japo nasiki Mkuranga ndiyo inaletwa Dsm ili kupata ardhi maana Dsm srkl imemaliza ardhi yote). Kutoka Mafia kwenda Kibaha inabidi upitie Wilaya za Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Temeke, Ilala, Ubungo ndiyo urudi tena Pwani (Kibaha yalipo Makao Makuu ya Mkoa).

Ni vivyo hivyo mtu kutoka Kiteto kwenda Babati Makao Makuu ya Mkoa wa Manyara, analazimika kupitia Dodoma (Wilaya takriba 3 hv) ndiyo arudi tena Manyara (Babati). Nadhani migawanyo hii ya maeneo ya kiutawala ilichagizwa sana na siasa kuliko sayansi.
Usilolijua! Ili ufike ukerewe ukiwa Mwanza ni either uvukie Mwanza mjini, usafiri ni meli almost 5 to 6hrs to ukerewe au upitie Bunda - Kisorya ambako utavuka na fery kwa nusu saa, Mwanza - Bunda Kisorya kwa ule mwendo wao ni 2 to 3hrs
Ajali ni ajali tu nakubaliana na hilo, lakini ukweli ni kwamba Ukerewe kuwa Wilaya ya Mkoa wa Mwanza imeishachukuwa roho za mamia majini na barabarani kuliko kama Ukerewe ingepewa Mkoa wa Mara. Kupitia majini inachukuwa nusu siku (masaa 5 hadi 6), kupitia barabarani ni takriban muda huo huo (Mwanza Bunda masaa 2, Bunda Kisorya masaa 3, Kisorya Ukerewe nusu saa hadi saa 1).

Niliwahi kuchagiza humu kwamba Ukerewe ipelekwe Mara toka Mwanza. Tutaokoa roho nyingi kuendelea kupotea. Pia nikachagiza kwamba Mafia ipewe Dsm toka Pwani (japo nasiki Mkuranga ndiyo inaletwa Dsm ili kupata ardhi maana Dsm srkl imemaliza ardhi yote). Kutoka Mafia kwenda Kibaha inabidi upitie Wilaya za Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Temeke, Ilala, Ubungo ndiyo urudi tena Pwani (Kibaha yalipo Makao Makuu ya Mkoa).

Ni vivyo hivyo mtu kutoka Kiteto kwenda Babati Makao Makuu ya Mkoa wa Manyara, analazimika kupitia Dodoma (Wilaya takriba 3 hv) ndiyo arudi tena Manyara (Babati). Nadhani migawanyo hii ya maeneo ya kiutawala ilichagizwa sana na siasa kuliko sayansi.
ina utata ajali yake.
Si ilifikishwa Mahakamani na shauri likasikilizwa na kutoa haki kwamba Dumisani Dube (ANC Member) awe deported. Au ni kwa vile Marehemu hana haki kwenye sheria ya Traffic ya nchi yetu?
 
RC wa Mwanza na RC wa Mara wangeondoka muda sawa kwenda Ukerewe nani angemtangulia mwenzake kufika? Ukipeleka Ukerewe Mara na kujenga daraja-ziwa Kisorya umetatua tatizo kwa asilimia kubwa, bali ajali za meli na zile za barabara kuzunguka Simiyu na Mara ndiyo urudi tena Mwanza-Ukerewe kupitia mikoa miwili ambayo inafanya Ukerewe pekee kuwa eneo ambalo lina kadhia hii kwa nchi nzima zitaendelea vizazi na vizazi.

Kuhamishia Makao Makuu ya nchi Dodoma toka Dsm siyo tu kumefaidisha Wagogo bali maeneo mengi ya nchi kwa kuwa sasa kutoka kila mkoa wa nchi unafika Dodoma kwa siku moja tu.

Unadhani kwanini Wazaramo hawakung'ang'aniza Makao Makuu yabakie Dsm? kama Wakerewe na Wakara wanavyodhani wabakie Mwanza badala ya Mara?
 
Private Media bhana!

Hayo hayawezitokea TBC.
 
Ongeza elimu bhana! Unatuletea mijadala mfu! Kuna uhusianio gani kati ya ajali na Ukerewe kuwa sehemu ya mkoa wa mara? Unaanza kujiandikia kupima umbali, mbona tunaenda Washington kwa masaa 22 bila ajali? FOOOL!
Nilisema niko Mwanza. Sengerema nayo ipelekwe wapi? Nilikuwa Pwani, Mafia ipelekwe wapi?
 
Nimesoma Balili Primary School Bunda, nimefanya special assignment/mission Murutungru Teachers College Nansio (mimi siyo Mwl). Mwanza Mjini ni kama nyumbani.

Unashangaa kwenda Marekani kwa masaa 22 wakati tunaenda Bukoba toka Dar kwa siku mbili, hii ni point muflisi and non-contextual.

Kwa kuwa umechagua kujadili mada kwa kejeli na matusi badala ya uvumilivu wa mawazo mbadala basi chukuwa hili "Chupe mantequllia de mi culo" Tafuta mkalimani, akimalizana nawe nenda kwa Mwanasaikolojia akusaidie kuondoa kwenye saikolojia yako madhara ya Chupe mantequllia de mi culo, kama unaogopa stress basi usitafute Mkalimani.
 
Ukerewe kwenda Mara ni wazo zuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…