Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

Mifumo haijengwi kwa miezi 9. Credit apewe mtangulizi wake kwa kuweka ground work vizuri na Kafulila kuindeleza vema

..hata mimi nashangaa ni kitu gani kimesababisha MLIPUKO/MFUMUKO wa ukusanyaji mapato mkoani Simiyu.

..Je, kuna CHANZO KIPYA cha mapato ambacho hakikuwepo miaka iliyopita na kimeanza kuchangia mwaka huu?

..Je, kuna MFUMO MPYA wa kukusanya mapato ambao umeanza kutumika mwaka huu na umeziba matundu ya miaka iliyopita?

Je, kuna ongezeko la MAVUNO au mapato ya wananchi kwa kiwango kisicho cha kawaida kulinganisha na miaka iliyopita?

..Ukusanyaji wa mapato ni jambo jema, lakini ni vema zaidi tukajua ongezeko hilo linatokana na nini. Tukiweza kufanya hivyo tutakuwa ktk nafasi nzuri ya kuendelea kukusanya mapato hayo, au hata hata kuongeza makusanyo.
 
Wanajiwekea budget ndogo ukilinganisha na vyanzo vyao vya mapato alafu unasema wavunja record, ni sawa wewe ujiwekee mauzo ya duka lako kwa siku ni 20. Lafu duka lenyewe ualisia mauzo ni elfu hamsini kwa siku , ukipata elfu hamsini unajisemea umevunja records wakati huo ndio ualisia
Sasa kama wamezidi iliyopita na iliyopita ilikuwaje?
 
Ni ujinga mkoa wa Simiyu kukusanya 14bilion. Mkoa huo unatakiwa kukusanya 40bln kwa mwaka. Ushuru wa pamba , minada na magulio, leseni za biashara na mengine mengi huwezi kusanya 14bn.

Mama situka unaibiwa
 
..hata mimi nashangaa ni kitu gani kimesababisha MLIPUKO/MFUMUKO wa ukusanyaji mapato mkoani Simiyu.

..Je, kuna CHANZO KIPYA cha mapato ambacho hakikuwepo miaka iliyopita na kimeanza kuchangia mwaka huu?

..Je, kuna MFUMO MPYA wa kukusanya mapato ambao umeanza kutumika mwaka huu na umeziba matundu ya miaka iliyopita?

Je, kuna ongezeko la MAVUNO au mapato ya wananchi kwa kiwango kisicho cha kawaida kulinganisha na miaka iliyopita?

..Ukusanyaji wa mapato ni jambo jema, lakini ni vema zaidi tukajua ongezeko hilo linatokana na nini. Tukiweza kufanya hivyo tutakuwa ktk nafasi nzuri ya kuendelea kukusanya mapato hayo, au hata hata kuongeza makusanyo.
To respond kwenye hili..
Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 OR TAMISEMI iligawa mashine nyingi saana za kukusanyia mapato kwa Halmashauri zote ambazo zimepunguza upotevu wa mapato na kuongeza mapato kwa Halmashauri, lakini pia inawezekana kuongezeka kwa mapato ninisimamizi mzuri wa viongozi katika kuhakikisha wanaziba mianya ya upotevu wa mapato haya hayahitaji uwekezaji wa miaka mingi kuleta tofauti katika ongezeko la mapato.
Lakini katika mwaka wa fedha husika inawezekana kabisa vyanzo vya mapato vipya vikabuniwa ambavyo vikaleta tofauti ya mapato kwa mwaka husika.
 
Mkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,

Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.

Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja,

Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%

Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi!

View attachment 2287122
#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?
Good Kafulila
 
Mifumo haijengwi kwa miezi 9. Credit apewe mtangulizi wake kwa kuweka ground work vizuri na Kafulila kuindeleza vema
Tusijuvunie kuvunja record ya ukusanyaji mapato bila ya kupewa taarifa ya ongezeko la pato la wananchi wa eneo husika. Wananchi kunyang'anywa pesa zao, mifugo yao, kwa vitisho kulipa kodi ili wasifungwe sio ukusanyaji kodi.
 
..hata mimi nashangaa ni kitu gani kimesababisha MLIPUKO/MFUMUKO wa ukusanyaji mapato mkoani Simiyu.

..Je, kuna CHANZO KIPYA cha mapato ambacho hakikuwepo miaka iliyopita na kimeanza kuchangia mwaka huu?

..Je, kuna MFUMO MPYA wa kukusanya mapato ambao umeanza kutumika mwaka huu na umeziba matundu ya miaka iliyopita?

Je, kuna ongezeko la MAVUNO au mapato ya wananchi kwa kiwango kisicho cha kawaida kulinganisha na miaka iliyopita?

..Ukusanyaji wa mapato ni jambo jema, lakini ni vema zaidi tukajua ongezeko hilo linatokana na nini. Tukiweza kufanya hivyo tutakuwa ktk nafasi nzuri ya kuendelea kukusanya mapato hayo, au hata hata kuongeza makusanyo.
Uongozi thabiti
 
Wivu wa nini mkuu. We angalia kisarawe unachoona kinafanyika sasa kiliwekewa mizizi na mwingine.

Mbona hakufanya hivyo alipokuwa Songwe, maana yake alitengeneza mfumo anaishia njiani na uondoka aliyrkuja hakuendeleza( if at all Kafulila is competent)
Songwe alikuwa RAS nakukumbusha tu!
 
Wanajiwekea budget ndogo ukilinganisha na vyanzo vyao vya mapato alafu unasema wavunja record, ni sawa wewe ujiwekee mauzo ya duka lako kwa siku ni 20. Lafu duka lenyewe ualisia mauzo ni elfu hamsini kwa siku , ukipata elfu hamsini unajisemea umevunja records wakati huo ndio ualisia
Kama kitu hukijui si bora ukae kimya kuliko kuongea utumbo kama huu.unatia aibu!
 
Kama kitu hukijui si bora ukae kimya kuliko kuongea utumbo kama huu.unatia aibu!
Wewe ndio ujui chochote, wewe unafikiri hizo asilimia 8% ambao ni ongezeko zimetoka mbinguni. Ni makadirio ya makusanya yalikuwa chini kuliko uhalisia au kuna chanzo ambacho hawakukiweka au walia under estatemate (didnot account for). wewe usione watanzania ni wapumbavu sana, yaani upate bilion 2 au tatu hewani (hapana kuna mahali imetoka au chanzo kipya)
 
Wewe ndio ujui chochote, wewe unafikiri hizo asilimia 8% ambao ni ongezeko zimetoka mbinguni. Ni makadirio ya makusanya yalikuwa chini kuliko uhalisia au kuna chanzo ambacho hawakukiweka au walia under estatemate (didnot account for). wewe usione watanzania ni wapumbavu sana, yaani upate bilion 2 au tatu hewani (hapana kuna mahali imetoka au chanzo kipya)
Nchi ngumu sana hii aise hiiiihh
 
IMG-20220713-WA0025.jpg
 
Mkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,

Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.

Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia 125% ikifuatiwa na Meatu na Bariadi vijijini zenye asilimia 110% kila moja.

Itilima wao waliokuwa wamwisho kimapato wakati wote wamekusanya 106%

Huku Bariadi Mjini yenye asilimia 103% huku Busega ikifunga kwa asilimia95.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ametoa taarifa hiyo akiwapongeza wakurugenzi wote wa Halmashauri chini yake kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuonesha ufanisi katika makusanyo na matumizi.

View attachment 2287122
#SIMIYUTUKO TAYARI KUHESABIWA WEWEJE?
Great
 
Back
Top Bottom