TANZIA Simon Amon Mwanguku, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara (1983 -1992), Afariki Dunia

TANZIA Simon Amon Mwanguku, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara (1983 -1992), Afariki Dunia

Teknocrat

Confirmed by Ambele Mwanguku, mtoto wa Mzee Simon Mwanguku.

Mzee Simon Mwanguku amefariki baada ya kupokea habari za kifo cha binti yake Julie.

Ambele Mwanguku ana hali ngumu sana.

Amempoteza dada yake (Julie Mwanguku) na baba yake (Simon Mwanguku) ndani ya wiki moja.

Pole nyingi kwa familia ya Mwanguku.
 
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Mzee Ramadhani Nyamka anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1983 hadi 1992 (Pichani), Simon Amon Mwanguku kilichotokea leo Alfajiri tarehe 28 Julai, 2024 katika Hospitali Kuu ya Jeshi la Magereza, KMKGM Ukonga, jijini Dares Salaam.

Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia linaendelea kuratibu shughuli zote za mazishi ya Marehemu.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Segerea, Migombani.


==================
Simon Amon Mwanguku ni nani?

Amezaliwa Tukuyu katika Kijiji kinaitwa Bujenga huko mkoani Mbeya mwaka 1938. Alianza Shule ya Masoko mwaka 1948, shule hiyo ilikuwa kama kilomita kadhaa kutoka Tukuyu, karibu na Ziwa liitwalo Masoko. Alisoma hapo kwa tokea 1948 hadi 1951.

Baadaye alienda Mpuguso Middle School, shule pekee iliyokuwa inaunganisha wanafunzi wa Rungwe nzima. Wakati ule Rungwe ilikuwa ni pamoja na Ileje, Kyela, na sasa Halmashauri ya Busokelo.

Baada ya Mpuguso Middle School alikwenda Malangali mkoani Iringa mwaka 1954 na mwaka 1960 alimaliza Darasa la 12.

Wakati akiwa Malangali, alikutana watu wawili ambao walikuwa ni inspekta wa polisi, kwa udadisi yeye na wenzake wakawauliza kuhusu utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Polisi. Na kilichowavutia hadi kuuliza ilikuwa ni ‘smartness’ ya mabwana wale.

Baadaye alikwenda kujiunga na mafunzo na mwaka 1961 alijiunga na Jeshi la Magereza. Alipita vyeo kadhaa katika jeshi hilo lakini safari yake ya uongozi ndani ya jeshi hilo ilianza mwaka 1967, mkoani Morogoro.

SAFARI YA UONGOZI
  • Mkuu wa Gereza Wami – (1967)
  • Mkuu wa Gereza la Molo, Sumbawanga (1967 – 1976)
  • Mkuu wa Gereza Moshi (1976-1979)
  • Kamishna wa Jeshi la Magereza (1979 – 1983)
  • Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza (1983 – 1992)
Thanks for information
 
Teknocrat

Confirmed by Ambele Mwanguku, mtoto wa Mzee Simon Mwanguku.

Mzee Simon Mwanguku amefariki baada ya kupokea habari za kifo cha binti yake Julie.

Ambele Mwanguku ana hali ngumu sana.

Amempoteza dada yake (Julie Mwanguku) na baba yake (Simon Mwanguku) ndani ya wiki moja.

Pole nyingi kwa familia ya Mwanguku.
Aisee
Pole nyingi kwa familia
 
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Mzee Ramadhani Nyamka anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1983 hadi 1992 (Pichani), Simon Amon Mwanguku kilichotokea leo Alfajiri tarehe 28 Julai, 2024 katika Hospitali Kuu ya Jeshi la Magereza, KMKGM Ukonga, jijini Dares Salaam.

Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia linaendelea kuratibu shughuli zote za mazishi ya Marehemu.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Segerea, Migombani.


==================
Simon Amon Mwanguku ni nani?

Amezaliwa Tukuyu katika Kijiji kinaitwa Bujenga huko mkoani Mbeya mwaka 1938. Alianza Shule ya Masoko mwaka 1948, shule hiyo ilikuwa kama kilomita kadhaa kutoka Tukuyu, karibu na Ziwa liitwalo Masoko. Alisoma hapo kwa tokea 1948 hadi 1951.

Baadaye alienda Mpuguso Middle School, shule pekee iliyokuwa inaunganisha wanafunzi wa Rungwe nzima. Wakati ule Rungwe ilikuwa ni pamoja na Ileje, Kyela, na sasa Halmashauri ya Busokelo.

Baada ya Mpuguso Middle School alikwenda Malangali mkoani Iringa mwaka 1954 na mwaka 1960 alimaliza Darasa la 12.

Wakati akiwa Malangali, alikutana watu wawili ambao walikuwa ni inspekta wa polisi, kwa udadisi yeye na wenzake wakawauliza kuhusu utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Polisi. Na kilichowavutia hadi kuuliza ilikuwa ni ‘smartness’ ya mabwana wale.

Baadaye alikwenda kujiunga na mafunzo na mwaka 1961 alijiunga na Jeshi la Magereza. Alipita vyeo kadhaa katika jeshi hilo lakini safari yake ya uongozi ndani ya jeshi hilo ilianza mwaka 1967, mkoani Morogoro.

SAFARI YA UONGOZI
  • Mkuu wa Gereza Wami – (1967)
  • Mkuu wa Gereza la Molo, Sumbawanga (1967 – 1976)
  • Mkuu wa Gereza Moshi (1976-1979)
  • Kamishna wa Jeshi la Magereza (1979 – 1983)
  • Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza (1983 – 1992)
RIP Mzee Mwanguku.
 
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Mzee Ramadhani Nyamka anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1983 hadi 1992 (Pichani), Simon Amon Mwanguku kilichotokea leo Alfajiri tarehe 28 Julai, 2024 katika Hospitali Kuu ya Jeshi la Magereza, KMKGM Ukonga, jijini Dares Salaam.

Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia linaendelea kuratibu shughuli zote za mazishi ya Marehemu.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Segerea, Migombani.


==================
Simon Amon Mwanguku ni nani?

Amezaliwa Tukuyu katika Kijiji kinaitwa Bujenga huko mkoani Mbeya mwaka 1938. Alianza Shule ya Masoko mwaka 1948, shule hiyo ilikuwa kama kilomita kadhaa kutoka Tukuyu, karibu na Ziwa liitwalo Masoko. Alisoma hapo kwa tokea 1948 hadi 1951.

Baadaye alienda Mpuguso Middle School, shule pekee iliyokuwa inaunganisha wanafunzi wa Rungwe nzima. Wakati ule Rungwe ilikuwa ni pamoja na Ileje, Kyela, na sasa Halmashauri ya Busokelo.

Baada ya Mpuguso Middle School alikwenda Malangali mkoani Iringa mwaka 1954 na mwaka 1960 alimaliza Darasa la 12.

Wakati akiwa Malangali, alikutana watu wawili ambao walikuwa ni inspekta wa polisi, kwa udadisi yeye na wenzake wakawauliza kuhusu utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Polisi. Na kilichowavutia hadi kuuliza ilikuwa ni ‘smartness’ ya mabwana wale.

Baadaye alikwenda kujiunga na mafunzo na mwaka 1961 alijiunga na Jeshi la Magereza. Alipita vyeo kadhaa katika jeshi hilo lakini safari yake ya uongozi ndani ya jeshi hilo ilianza mwaka 1967, mkoani Morogoro.

SAFARI YA UONGOZI
  • Mkuu wa Gereza Wami – (1967)
  • Mkuu wa Gereza la Molo, Sumbawanga (1967 – 1976)
  • Mkuu wa Gereza Moshi (1976-1979)
  • Kamishna wa Jeshi la Magereza (1979 – 1983)
  • Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza (1983 – 1992)
Pole mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,pole mkuu wa magereza nchini,pole Wana Mbeya wote,pole kwa familia ya Mwanguku,Hakika mtu huyu alikuwa mwema!
 
Pole mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,pole mkuu wa magereza nchini,pole Wana Mbeya wote,pole kwa familia ya Mwanguku,Hakika mtu huyu alikuwa mwema!
Misiba ya Mbeya unaweza dhani mkoa mzima ni ukoo mmoja. Si mara nyingi mtu wa Rukwa kufariki ukasikia raia wakipeana pole wana Rukwa ila Mbeya huwa inakuwa hivyo.

Marehemu apumzike kwa amani.
 
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Mzee Ramadhani Nyamka anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1983 hadi 1992 (Pichani), Simon Amon Mwanguku kilichotokea leo Alfajiri tarehe 28 Julai, 2024 katika Hospitali Kuu ya Jeshi la Magereza, KMKGM Ukonga, jijini Dares Salaam.

Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia linaendelea kuratibu shughuli zote za mazishi ya Marehemu.

Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Segerea, Migombani.


==================
Simon Amon Mwanguku ni nani?

Amezaliwa Tukuyu katika Kijiji kinaitwa Bujenga huko mkoani Mbeya mwaka 1938. Alianza Shule ya Masoko mwaka 1948, shule hiyo ilikuwa kama kilomita kadhaa kutoka Tukuyu, karibu na Ziwa liitwalo Masoko. Alisoma hapo kwa tokea 1948 hadi 1951.

Baadaye alienda Mpuguso Middle School, shule pekee iliyokuwa inaunganisha wanafunzi wa Rungwe nzima. Wakati ule Rungwe ilikuwa ni pamoja na Ileje, Kyela, na sasa Halmashauri ya Busokelo.

Baada ya Mpuguso Middle School alikwenda Malangali mkoani Iringa mwaka 1954 na mwaka 1960 alimaliza Darasa la 12.

Wakati akiwa Malangali, alikutana watu wawili ambao walikuwa ni inspekta wa polisi, kwa udadisi yeye na wenzake wakawauliza kuhusu utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Polisi. Na kilichowavutia hadi kuuliza ilikuwa ni ‘smartness’ ya mabwana wale.

Baadaye alikwenda kujiunga na mafunzo na mwaka 1961 alijiunga na Jeshi la Magereza. Alipita vyeo kadhaa katika jeshi hilo lakini safari yake ya uongozi ndani ya jeshi hilo ilianza mwaka 1967, mkoani Morogoro.

SAFARI YA UONGOZI
  • Mkuu wa Gereza Wami – (1967)
  • Mkuu wa Gereza la Molo, Sumbawanga (1967 – 1976)
  • Mkuu wa Gereza Moshi (1976-1979)
  • Kamishna wa Jeshi la Magereza (1979 – 1983)
  • Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza (1983 – 1992)
Miaka 96 si haba Mungu awape faraja familia yake.
 
POLE KWA FAMILIA NZIMA . HAKIKA WANAPITIA KATIKA WAKATI MGUMU SANA . KWELI DUNIANI TUNAPITA NA PIA MITIHANI NI SEHEMU YA MAISHA YETU YA TABU . WANADAMU TUISHI KWA UPENDO , SAFARI YETU NI MOJA. MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU WOTE PEPONI . AMINA
 
Ila Wanyakusya bana wanapenda sana kuishi jijini hata wakistaafu hawarudi makwao, ni wachache sana wamerudi kijijini kama Prof. Mwandosya anayeishi Matema Beach Kyela.
Sio mnyakyusa huyo.
 
RIP mzee Mwanguku
Mwanga wa milele ukuangazie upumzike kwa amani.!
 
Back
Top Bottom