Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
MICHEZO: Dkt Jonas Tiboroha, Meneja wa Simon Msuva, mchezaji wa Taifa Stars, amesema Msuva amejiunga na klabu ya Benifica ya Ureno kwa mkataba wa miaka 3 akitokea klabu ya Difaâ El Jadidi
Amesema ataanza kuitumikia Benfica Julai 2020 na sasa anaenda kwa mkopo katika klabu ya Panathinaikos ya Ugiriki
Source Wasafi TV.
Hongera sana mpambanaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema ataanza kuitumikia Benfica Julai 2020 na sasa anaenda kwa mkopo katika klabu ya Panathinaikos ya Ugiriki
Source Wasafi TV.
Hongera sana mpambanaji
Sent using Jamii Forums mobile app