Simon Msuva apewa mkono wa kwaheri na JSK

Simon Msuva apewa mkono wa kwaheri na JSK

Kuna wachezaji inatokea unawapenda sana lakini mwisho wao unakua sio mzuri.... Siombei kabisa Msuva aende huko....

Kwa Tanzania nilimpenda sana Thomas Ulimwengu lakini roho inaniuma kumwona soka limemkataa na kumgeuka kabisa.... Ulaya nilimpenda Eden Hazard but soka limemkataa mpaka akaamua kustaafu kabisa.. Hii dunia mara nyingine haina fair kabisa.
Mie nilimpenda James Rodriguez lakini football imemkataa mapema mnoo.

Sijui yuko team gan kwa sasa, Lol.
 
Mie nilimpenda James Rodriguez lakini football imemkataa mapema mnoo.

Sijui yuko team gan kwa sasa, Lol.
Kweli kabisa James Rodriguez mpira ulimkataa ghafla.... Kombe la dunia alikiwasha sana akawa superstar mkubwa duniani, madrid wakamsajili ndipo mpira ukaanza kumkataa mpaka leo..... Sasa hivi anacheza ligi ya brazil timu ya sao paulo
 
Kweli kabisa James Rodriguez mpira ulimkataa ghafla.... Kombe la dunia alikiwasha sana akawa superstar mkubwa duniani, madrid wakamsajili ndipo mpira ukaanza kumkataa mpaka leo..... Sasa hivi anacheza ligi ya brazil timu ya sao paulo
Duuh maskini James ameshine kipindi kifupi mnoo ktk carrier ya football.
 
Alidharau sana kurudi kucheza ligi ya Bongo hasa timu yake ya zamani alipohojiwa tena akaongea kwa kejeli, ..naona itakuwa ngumu kwake sasa timu za maana North Africa kumchukua maana kachuja, kwa alivyoongea nadhani ataona heri aende vitimu kama vipers

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kama Yanga walimrudisha tena Morrison mbali ya kutuvua nguo kiasi kile ndio tutashindwa kumchukua msuva? Au umesahau kisa cha metacha kuwatoa akili mashabiki wa yanga jukwaani na baadae akarudishwa tena?
 
Umri atulize boli atafute Timu ndogo ya home maisha yaendelee Marcelo katulia zake Brazil huko anakiwasha hizo Timu zinataka matokeo hasa ya kombe la CAF ni ngumu sana kudumu ikiwa Tau hapo Al Ahly nae ataondoka tu kwa sababu ya umri na matokeo ya Timu..
 
Umri halisi wa msuva ni miaka 32 mbona bado sana ! Atleast akifikisha 35 angalau

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Yani kwamba, mimi na Msuva, mkubwa mimi, sio?
Nimeanza kumsikia msuva akicheza tangu nikiwa shule form two, na mpaka leo nina wauni wangu watatu, ndio msuva bado anamiaka 32?
Yah, soccer la bongo sio poa.
 
Kweli kabisa James Rodriguez mpira ulimkataa ghafla.... Kombe la dunia alikiwasha sana akawa superstar mkubwa duniani, madrid wakamsajili ndipo mpira ukaanza kumkataa mpaka leo..... Sasa hivi anacheza ligi ya brazil timu ya sao paulo
James wa Chelsea naye pia anaujua mpira na kuupenda lakini mpira unamuandama kila siku kwa majeruhi yasiyokoma, sasa hivi ameamua liwalo na liwe kufanyiwa upasuaji kwenye goti.
 
Alidharau sana kurudi kucheza ligi ya Bongo hasa timu yake ya zamani alipohojiwa tena akaongea kwa kejeli, ..naona itakuwa ngumu kwake sasa timu za maana North Africa kumchukua maana kachuja, kwa alivyoongea nadhani ataona heri aende vitimu kama vipers

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo na timu zenu za kkoo manzionaga km real madrid vile!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom