captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 634
Habari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.