Simon Simalenga, hujifunzi kwa Sabaya? Kila lenye mwanzo lina mwisho

Simon Simalenga, hujifunzi kwa Sabaya? Kila lenye mwanzo lina mwisho

Ivumavyo Haidumu!

Hajachelewa Abadilike Haraka Sana, Atakuja Juta!!

 
Hiii Wilaya kama imelaaniwa kuna jamaaa mmoja anatwa bhange anasumbua watumishi mpaka basi yeye anakula na mademu zake tuuu na kuwaoa vyeo, amesharipotiwa sana tamisemi kwa kukataa kusaini uhamisho wa wafanyakaxzi.
 
Nafahamu hilo ila nilikua nazunguumzia wateuliwa wengine the likes ya waandishi wa habari kama Gabriel Zakaria, Mwanamuziki kama Niki Wa Pili na mwanamitindo kama Hoyce Temu na Basila Mwanukuzi.

Hivyo ni vyeo vya hisani kuhamasisha vijana kushikamana na CCM na kupigia debe la nguvu viongozi wake. Unnecessary overheads.
 
Unataka kusema alimteka au??

Na mnaposema anatembea na wake za Watu ni anawateka na kuwabaka au hao wake zenu wanaenda wenyewe??
Hapa unakosea; Kiongozi kutembea na wake za watu ni utovu wa nidhamu na ikithibitika kweli unafanya hivyo UNAFUKUZWA KAZI..
 
Habari zenu ndugu zangu.

Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.

Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.

Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.

Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.

Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".

Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.

Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.

Jifunze kwa SABAYA..
Ccm huwa inateua watu wa hovyo sana,huyu alikuwa muigizaji leo Kawa DC,Elimu ya kuunga unga,
 
Habari zenu ndugu zangu.

Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.

Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.

Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.

Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.

Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".

Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.

Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.

Jifunze kwa SABAYA..
Atavuna anachopanda
 
Kwani mkuu huoni kwa sasa serikali yenyewe inavyoendeshwa kisanii uliona wapi serikali inayokopa pesa kwa ajiri kujenga vyoo
 
Huyo wa Rorya ni mwingine alikuwa anatumia jina la Mchopanga
View attachment 2255106
Simalenga ni huyu hapa
Screenshot_20220609-113849.jpg
 
Unataka kusema alimteka au??

Na mnaposema anatembea na wake za Watu ni anawateka na kuwabaka au hao wake zenu wanaenda wenyewe??
Wanawake wa kiswahili wanaoishi kwa bajeti ya 3000/- kwa siku

Unadhani wakishawishiwa hawakubali au walimu na wauguzi wanaorubuniwa kwa kigezo cha kutafutiwa kazi nzuri au kuongezwa daraja, ujue mwanamke ni kiumbe dhaifu basi tu.
 
Wanawake wa kiswahili wanaoishi kwa bajeti ya 3000/- kwa siku

Unadhani wakishawishiwa hawakubali au walimu na wauguzi wanaorubuniwa kwa kigezo cha kutafutiwa kazi nzuri au kuongezwa daraja, ujue mwanamke ni kiumbe dhaifu basi tu.
Acha kubishana na watoto hawaelewi
 
Back
Top Bottom